igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Unamununulia mtu bando hapa wewe fisimaji?? Wewe ni nani mpaka upangie watu cha kupost au kufanya?? Wewe unajua kipato cha kila mtu humu ndani? Wewe mwenyewe inawezekana ni kula kulala kwa shemeji halafu unachoongaa.Hajauliza kazi yako bali kasema fanyeni kazi acheni umbea kwahiyo fanya kazi yako hiyohiyo ya lindo bila kupumzika uingeze kipati zaidi au uolewe nayo ni kazi siyo umbea,kazi ziko nyinymgi!!
Mmbea wewe!!