Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Hajauliza kazi yako bali kasema fanyeni kazi acheni umbea kwahiyo fanya kazi yako hiyohiyo ya lindo bila kupumzika uingeze kipati zaidi au uolewe nayo ni kazi siyo umbea,kazi ziko nyinymgi!!
Mmbea wewe!!
Unamununulia mtu bando hapa wewe fisimaji?? Wewe ni nani mpaka upangie watu cha kupost au kufanya?? Wewe unajua kipato cha kila mtu humu ndani? Wewe mwenyewe inawezekana ni kula kulala kwa shemeji halafu unachoongaa.
 
Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.

Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Labda awe rais huko Kijijini kwenu [emoji23][emoji23][emoji23]...
 
Kiukweli kuhusu hizo video clips, sifahamu kitu, ndio kwanza naziona hapa. Tumngoje Kimambe ndiye mwenye sources za udaku.
Basi ngoja tusubiri tuone nani atamwaga mboga,na nani atamwaga Ugali,au wataamuwa kuto mwaga Msosi ili mwenye mboga na mwenye ugali washirikiane kutunza Msosi wao wale kwa amani!!?
 
Mkuu wanasiasa si watu wa kuweka nao bifu hasa unapokuwa mfanya biashara. Kama GSM wana mtu wa PR wataliona hili nalosema. Hivi nani alijua Makala atakuja kuwa mkuu wa mkoa wa Dar???? Ninachomaanisha hapa ni kuwa wanasiasa wana mitaji mikubwa ya network, mtu anaweza kuwa idle kwa muda ila siku mtu wake akimkumbuka basi anaweza kulipiza kisasi. Msipe kichwa GSM. Na kumbukeni Makonda na Mama ni kitu kimoja.
Usichojua ni kwamba GSM mbona mhusika mkuu ni mwanasiasa, tena ambaye anaijua siasa kuliko huyo mshamba Bashite?? Hivi unaweza Kumlinganisha Bashite na Makalla au Nape? Hauko serious aisee
 
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.

Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.

View attachment 2145146
View attachment 2145147

Mkuu wanasiasa si watu wa kuweka nao bifu hasa unapokuwa mfanya biashara. Kama GSM wana mtu wa PR wataliona hili nalosema. Hivi nani alijua Makala atakuja kuwa mkuu wa mkoa wa Dar???? Ninachomaanisha hapa ni kuwa wanasiasa wana mitaji mikubwa ya network, mtu anaweza kuwa idle kwa muda ila siku mtu wake akimkumbuka basi anaweza kulipiza kisasi. Msipe kichwa GSM. Na kumbukeni Makonda na Mama ni kitu kimoja.
Hivi wewe unafikiri mama ana akili za Kisukuma?
 
Ukitaka kuona real zile afrikan illusion characters njoo JF, yaani watu wanaandika utadhani wao ndiyo walidhurumiwa, kuuliwa ndg, kutapeliwa, kufungwa nk.
Dhulma ni dhulma tuu haina cha u Afrika wala uhindi, lazima ikemewe ili nyie vijana msiopenda kazi mkafanye kazi za jasho lenu..
 
Mbona hawakusema toka mwanzo kua Makonda anawalazimisha wamjeengee hiyo Nyumba! Hao wote wanajuwana kwenye ma deal yao machafu! Na si muda Siri zao wote watazitoa kwa jamii, ili mjuwe aina ya Viongozi na Wafanyabiashara mnao waamini sana!!
Sawa, ila nyumba ya watu arudishe halafu na yeye kama ana ushahidi autoe ili na wao washughulikiwe
 
Mbona kuna Watumishi wengi tu wa Umma wanamiliki Mali ambazo haziendani na vipato vyao!? Au wwe Tanzania umekuja juzi!? Hii point yako futa kabisa,labda uje na hoja nyingine!!
Ndiyo wenyewe wamechukua nyumba yao sasa kama vipi na wewe nenda ukamsaidie...
 
Huyo huyo nape aliondolewa uwaziri kisa makonda. Mimi nassuport GSM wakadai nyumba yao maana kudai Mali yako hakuna uhusiano na kuwa uRais na uWaziri was mtu.
Makonda hana haki na hiyo nyumba, na GSM hana haki na hiyo nyumba. Nyumba hiyo itaifishwe iwe mali ya ya taifa. REaisi yeyote anaweza kupewa zawadi, lakini katiba inasema kama zawadi hiyo ni kubwa raisi anaikabithi serkali. Cheo ndiyo kimepewa zawadi kwa niaba ya WaTANZANIA, KWA HIYO NYUMBA INAILIKIWA NA wATANZANIA. hAIMILIKIWA NA mAKONDA WALA gsm, MAANA WALIISHAITOA ZAWADI KWA jAMHURI KUPITIA RAIS.
 
Hivi wewe unafikiri mama ana akili za Kisukuma?

Mungu amsaidie asiwe na akili ya kushikiwa na Vasco Dagama; ama sivyo anaweza kujikuta mahala Kikwete alipoifikisha ccm ambapo wavaa nguo za kijani wakipigwa mawe mitaani!!
The inflation is now skyrocketing in the economy and the RECESSION is not very far behind if strategic interventions are not urgently implemented!
 
Dah huruma imeniingia juu ya Makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Huyo jamaa huko mbele ya safari dawa zake zikiisha nguvu then mabaya yote yafahamike hadharani atakuja kujiua au kuhama nchi
 
Yule mnyaturu wa full time security Magufuli na Makonda walimchukulia mabilion yake kwa nguvu hadi jamaa akabaki hana kitu na stroke kumshika na kulazwa hospitalin mda mrefu. Isingekuwa ndugu zake nje kumtumia hela za matibabu na chakula angeshakufa. Na si yeye wengi tu.

Halafu eti anaitwa shujaa sijui SRG sijui bwawa la nyerere.

Shetani endelea kuongeza kuni na kuchochea moto
Utaongezewa wewe
 
mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....

Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Samarai!

Acha upumbafu wako wa kujidai unaangalia rangi eti mweusi na mweupe!

Huyo kima makonda alifanya ufedhuli mkubwa sana acha tuu yamkute!

Hawezi hata kuelezea source za utajiri wake na kadri mambo yanapoelekea atazidi kuumbuka tuu!

Pambafu kabisa!
 
Mbona wwe Makonda hajakusingizia kua unauuza madawa ya kulevya!? "If you don't know the rules don't play the game'!!! Hayo Maneno alikuwa anapenda sana Marehemu Dingi yangu kuniambia! nilipokua mdogo sikumuelewa,hadi nilipokua Mkubwa na kuanza ku play the game ndiyo nikaanza kumuelewa! Na masikini wakati naanza kuelewa Maneno ya Dingi na yeye ndiyo Umauti ukamnyemelea na kumchukuwa!!
Sababu sina pesa.
Ili kuwa ni njia ya kupata pesa toka kwa matajiri kwa kuwajengea kashfa Ili kuwalegeza kisha aje awaibie pesa zao.
Katika list ile nani amefungwa?
Jambazi mwenzake sabaya bado kesi tatu zinamngoja.
Mwambie ndugu yako mali zote za dhuluma alizopora zitarudi kwa wenyewe.
Zile daladala zake za masaki gongo la mboto zipo wapi?
Hotel yake ya Mwanza anauza.
Huwezi endesha biashara kwa kutegemea mifuko ya watu.
Mimi angenifanyizia ndo wakati wake wa kumtafuta ale kisasi.
Hana ujanja wa kuishi kwa utafutaji zaidi ya uporaji.
Mwache acheze na karma,mungu wake kapangiwa majukumu mengine.
Kutegemea ndumba ni SAwa na kucheza mpira wa puto kwenye mbigiri.
 
Back
Top Bottom