Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Makonda ni jambazi hilo halina ubisha mtu umekua mkuu wa wilaya na mkoa less than 10 years unamiliki utajiri Mkubwa umeupata wapi na sio mfanyabiashara ni picha gani unawafundisha vijana kwamba ukiwa mkuu wa wilaya au mkoa unakua billionaire kama makonda maisha sio marahisi hivyo makonda aliwapora malizake waende wakachukue iwe ni somo
Tatizo Sasa alipata hiko kiwanja na kuanza ujenzi kabla ya kupata uteuzi
 
Si peleka ushahidi kitengo cha madawa ya kulevya? Unangoja nini?

Mfupa ulimshinda fisi, utauweza wewe?
Hizi chuki mnazotengeneza kwa sasa na hakika zitawameza wewe na vizazi vyenu siku za usoni, muachieni kijana wa watu nyumba yake
 
Tunatakiwa tujue hata maandiko yanasema amtegemeaye mwanadamu mwenzake amelaaniwa sasa sponsa kafa jamaa analia lia tu mara aombe apigiwe kifua na mama yao ,yaani kila mti anaoshika unateleza kwingineko nao TRA wanataka alipie yale makontena ya vitu vyake vya hoteli alivyodai ni kwaajili ya shule, yani vululu vululu tu. Apambane na hali yake tu, watu wachume mali tangu yeye hajazaliwa leo hii aje achukue kilaini thubutuuuuuuuuuuuuuuuuu,.
 
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.

Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.

View attachment 2145146
View attachment 2145147
Kwamba GSM ni kampuni ya ujenzi ama? Walijenga kwa minajili ipi? Kama walitoa rushwa basi ndio imetoka
 
Kijana wa mzirankende atulie. Akomae spate haki zake.

Ila najiuliza watumishi wengine wa umma huwa wanashidwaji kuwa entrepreneur s kupata Pesa za kujenga mahekalu kama wakina Bashite.
 
Huyo mumeo ni takataka
Alaah!! Kumbe unaumia sababu tu alikukataa?? sasa nani anapenda uchafu?..... heee!....Njoo wewe uone navo faidi km unanionea wivu!!......na bado mtalia sana tu!
 
Tunatakiwa tujue hata maandiko yanasema amtegemeaye mwanadamu mwenzake amelaaniwa sasa sponsa kafa jamaa analia lia tu mara aombe apigiwe kifua na mama yao ,yaani kila mti anaoshika unateleza kwingineko nao TRA wanataka alipie yale makontena ya vitu vyake vya hoteli alivyodai ni kwaajili ya shule, yani vululu vululu tu. Apambane na hali yake tu, watu wachume mali tangu yeye hajazaliwa leo hii aje achukue kilaini thubutuuuuuuuuuuuuuuuuu,.
Ila si tulikubaliana hii sio serikali ya visasi?
 
Hiyo Mali Makonda hajanunuwa,hao GSM walimpa Kama zawadi! Sasa jiuulize Mfanyabiashara Mkubwa unampaje Mkuu wa Mkoa zawadi yenye thamani kubwa Kama ile!? Je Wanataka nini in return!? Mbona Konda Boy hajapewa Nyumba au Kiwanja na Baharesa!? Baharesa biashara zake zimeonyooka ndiyo maana hana hata muda wa kujipendekeza kwa Viongozi! Ukiona Mfanyabiashara Mkubwa anajipendekeza kwa Viongozi ujuwe huyo ana machafu yake kwenye biashara zake na anataka Ulinzi tu!!
Kama alipewa zawadi je aliwahi mjulisha mwajiri wake? Na je kwenye fomu za maadili za viongozi hiyo nyumba ipo?
 
Kuna mmoja ni dereva wa malori ya mizigo kwenda nje hasa Congo na Zambia.. Aliniambia boss wao anasumbuliwa na watu wakidai wametumwa na mamlaka.
Mara ni lazima uchangie mifuko ya cement 500 pamoja na nondo za kutosha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu eneo fulani..Kilichomshangaza akaona taarifa ile kwenye TV mifuko 200 tuu tena nondo hazikuwekwa.
Kila mwezi anagongewa mlango na watu kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya..nk wakisema order kutoka juu.. Tunahitaji 40 M kwa ajili ya eneo hili nk.. Ilibidi nusu ya malori yake abadili no kuwa za Rwanda na Zambia.. Ili ionekane kampuni imeyumba na hana uwezo wa kila mwezi kuchangia mahela ya miradi ya maendeleo.
Hapo kwenye mabati na nondo pana maswali yasiyokuwa na majibu. Idadi ya vifaa vilivyokuwa vinachangwa hailingani kabisa na ile iliyotumika. Time will tell.
 
kweli kuna baadhi ya watanzania ni wajinga sana ila hawa ni zaidi, yaani mtu nakufata kwa kauli tu kuwa mheshimiwa flani anataka nyumba na wewe jinsi ulivyo kiazi pro max unajenga kabisa ukiamini ni kweli?? hivi ni nani aliyeturoga??, halafu unakuja kumlaumu mtu wakati ni upuuzi wako mwenyewe, mtu ni kiongozi wa nchi kweli atakuwa na shida ya kibanda kimoja wakati ana mabangaloo ya kumtosha yeye na vitukuu vyake vilivyopo na vitakavyokuja
 
kweli kuna baadhi ya watanzania ni wajinga sana ila hawa ni zaidi, yaani mtu nakufata kwa kauli tu kuwa mheshimiwa flani anataka nyumba na wewe jinsi ulivyo kiazi pro max unajenga kabisa ukiamini ni kweli?? hivi ni nani aliyeturoga??, halafu unakuja kumlaumu mtu wakati ni upuuzi wako mwenyewe, mtu ni kiongozi wa nchi kweli atakuwa na shida ya kibanda kimoja wakati ana mabangaloo ya kumtosha yeye na vitukuu vyake vilivyopo na vitakavyokuja
 
Mengi yatafunguka, bado matajiri wengi aliowadhulumu wanamvutia pumzi tu.


Sidhani kama kuna cha kumlinda safari hii. Unafikiri, walivyodhalilishwa matajiri na wanasiasa na huyo jamaa watamsamehe? Kwanza wanahakikisha anakauka kifedha kidogo kidogo na anapoteza mali zake kidogo kidogo. Sasa hivi ni kama manyunyu tu, ngoja masika ichanganye, tutamhurumia.

Tukisikia nyumba alizojenga Mwanza na kwengineko zinanunuliwa au zinapigwa mnada muda si mrefu sana kuanzia sasa tusishangae.
Makonda anahujumiwa sababu ya misimamo yake isiyoyumba hususan kupambana na wauza unga na mafisadi.
 
Back
Top Bottom