Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Utahangaika sana kuelewana na mjita labda ukubali kua boya kwake yani awe kama yeye ndio amekuoa hapo mtaelewana lakini tofauti na hapo never ever forever tena utakua umeolea wana mtaa kwasababu kwa kupenda ngono ni vinala
Wajita wanapatikana eneo gani kwa hapa TZ?
 
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
Wee human (ni vigumu kutambua jinsia yako) umewatukana sana wanawake wa kijita , tena umetukana wote without exception. yaani Mama wooooooote wa kijita wenye watoto watano kila mtoto na baba yake!!! Weka akiba ya maneno maana hata wewe huna uhakika kwa asili mia moja kwamba huyo unayemuita baba yako ni baba yako kweli
 
Kifupi kabila lolote ukiona wsnadalimiana Wachamawe !!!! Kimbia ufe wanawezana wenyewe kwa wenyewe

🔹 Wana misemo mingi ya mafumbo ya kimapenzi

🔹Ogopa kabila Moja wsnataniana

🔹 Makazini uchawa kwa bosi wanauweza
 
Kwa wale wataalamu wa lughaza picha watanielewa.

Ipo hivi "ukimkazia mwanamke wa kijita macho , ukamwangalia kwa makini kwa kukutanisha macho ukautafsiri na uao wake utagundua ule upole unao onekana kwenye nyuso na macho yao, nyuma yao kuna ugaidi mkubwa sana.

Kaa mnabisha anzeni kufanyia research hili jambo.

Ni rahasi sana kuitambua tabia ya mwanamke kwa kumwangalia macho na lipsi zake wakati anaongea
Kaka skupingi,japo sio vzr kuwajaji cos itaonekana kama ni ukabila ila wajita ni magaidi sana asee nina visa vyao kadhaa hapa lol.
 
Tahadhali yako sitaipuuza. Mtoa taarifa wangu ananiambia kuna hawa Waikizu kulana ndugu kwao ni kawaida Sana. Akikuambia huyu ni Kaka yangu shemeji yangu au ni mtoto wa fulani, Kuwa makini Sana omera.
 
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
Wajita njoeni mjibu kasheshe hii
 
Kuna demu 1 wa Kikurya kaniganda balaaa nilikuwa namnyandua toka kitambo now tayari full charge kumkwepa anaibuka mbali huku kwa gharama zake alidai shida yake mtoto najuta maana usipompigia simu siku 1 kesho yake akikupigia analia sasa kavamia meli ya Greek
 
Naunga mkono hoja.. katka mistake nlyowahi kufanya n kuzàa na yule mjita mwanamke n mshar january to decmber na apo sjamuoa n kazalshwa tu ila jasho la mgongon ananitoa nipe bas mwanangu hatak haya kaa mbal na maisha yangu hatak sku akiamua kushusha mvua za msg utablock anatumia namba zngne 😡
 
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
.mh nimetia mimba mschana wa kijita najipanga nimpangishie na wewe unakuja na nyuzi za majuto hapa
 
Back
Top Bottom