Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
Una hoja makini; nashauri wanazengo wakusikilize.
 
Mm wajita nawajua vizur sana maana nmeishi ujitani mwaka mmoja kabisa, tabia zao

1.ushirikina
2.umalaya ,80% mabinti wanazalia makwao kabla ya kuolewa
3.umbeya, usengenyaji wa hali ya juu
4.hawapendi maendeleo, wakikuona tu unataka kupga hatua wanakupiga kimbola unalala usingiz wa milele.

Cha ajabu nikapiga mimba binti wakijita daaaah, ila nmekataa kumuoa nahudumia mtoto tu,
 
Mm wajita nawajua vizur sana maana nmeishi ujitani mwaka mmoja kabisa, tabia zao

1.ushirikina
2.umalaya ,80% mabinti wanazalia makwao kabla ya kuolewa
3.umbeya, usengenyaji wa hali ya juu
4.hawapendi maendeleo, wakikuona tu unataka kupga hatua wanakupiga kimbola unalala usingiz wa milele.

Cha ajabu nikapiga mimba binti wakijita daaaah, ila nmekataa kumuoa nahudumia mtoto tu,
Hatari sana bado hapo uko nao cha msingi fanya sana maombi kwa Mwenyezi Mungu kwasababu hao sio watu wazuri.
 
Back
Top Bottom