Vijana wa Namna hii huwezi wakuta Mara na viunga vyake. Wapo sana Tanga& Daslam wapenda Taarabu

Vijana wa Namna hii huwezi wakuta Mara na viunga vyake. Wapo sana Tanga& Daslam wapenda Taarabu

Duuh wanawake wanazidi kuongezeka Kila kukicha, asee idadi ya wanaume mbona ndogo sana tatizo nini asee,

Kwa mtindo huu Sasa wanaume tutaanza kugombaniwa Sasa duhhhh,.
Mi mwenyewe kipindi nakua,nilikua nawaza kama wewe,nilipokua nasikia eti wanawake ni wengi kuliko sisi,nikawaza kua tutakua tunagombaniwa,mmmh sasa ndo najua kua PESA ni muhimu sana.
 
Kwa maana hii Dar mambo haya yamebarikiwa na wakazi wake maana hii sio kificho Tena.

Bali mambo hadharani kama wanavyosema msondo ngoma.

Lakini mkicheka na Nyani siku ya mavuno mtavuna mabua!
View attachment 3185086
Yule aliyekuwa boss wa Voda aliyekuwa Chele alikuwa kutoka huko huko kwenu Mara...na watu wanatwanga, Kama hujui vitu kausha....
 
Back
Top Bottom