EGO REAL ESTATE
Member
- Jun 25, 2024
- 81
- 80
- Thread starter
- #21
Nimeona hadi picha. Ni shamba lenye vibanda vingi. Sijaona hata jengo la maana hapo lenye thamani ya milioni ishirini.
Huku kwetu eka moja inauzwa milioni moja. So ekari mbili ni milioni mbili tu.
mkuu wewe endelea kufukuza ngedere huko shamba haya mambo ya kisasa huyawezi waache wenye wanaoyajua watajilocolate wenyeweNimeona hadi picha. Ni shamba lenye vibanda vingi. Sijaona hata jengo la maana hapo lenye thamani ya milioni ishirini.
Huku kwetu eka moja inauzwa milioni moja. So ekari mbili ni milioni mbili tu.