Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
bila shaka hujawai kuuziwa mbuzi kwenye gunia!Sidhani kama hiyo apo juu ni tope,seba kibangaloo kinavutia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bila shaka hujawai kuuziwa mbuzi kwenye gunia!Sidhani kama hiyo apo juu ni tope,seba kibangaloo kinavutia.
NYUMBA NZURI SANA INAUZWA KWA NIABA YA BANK TABATA KISUKULU - DAR ES SALAM.
Mawasiliano: 0675 065906
Ina Vyumba Vitatu (3) Kimoja Master, Dinning, Sitting, Kitchen&Public Toilet
Umiliki: Mauziano Ya Serikali Ya Mtaa
Ukubwa Wa Eneo: SQM 650
Sio Mbali Kutoka Barabara Kuu Ya Lami
Bei: 32Million (Makadirio)
View attachment 3040020View attachment 3040021View attachment 3040022
Swali sana.Kina hati ya wizara
Yes kina hati ya wizaraKina hati ya wizara
Una hela??Kina hati??
😁 😁 😁 😁 hela ninayo bwana dalali. Haya kila la heriUna hela??
Mkuu nimekusoma ila kwa mtu muhitaji kweli anaweza kuchukua contact na kupiga simu atapewa taarifa zoteKwenye mchoro wako vilivyo chukuliwa ungeweka alama yyte. Ili vilivyo bakia ndio tuchague.
KAZI ni kipimo cha UTU