Plot4Sale Viwanja na Mashamba vinauzwa sehemu mbalimbali Dar na Pwani
Heka (hector) moja si ndio sawa na sqm 10,000.?
Ambayo ni sawa na mita 100 kila upande.
 
Anauza heka 1 kwa 85m sio 17m soma vizuri post.
Hata angeuza heka moja kwa mil 100 bado bei ni ndogo Sana kwa mbezi msakuzi
Hapo unazungumzia sqm 4000+
Ni sawa na akuuzie kiwanja Cha sqm 1000 kwa milioni 22
Labda awe anamaanisha mbezi msakuzi nyingine, Ila kwa hii ya dar hiyo bei ni cheap sana
 
Mbezi msakuzi ambako hakuna maji,hospitali,barabara,n.k lakini viwanja bei juu hivi?
 
Nyumbainauzwa kibaha visiga

Bei mln 20 fixed

Vyumba vitatu vya kulala

Kimoja master

Sebule, jiko

Nyumba pia ina vyumba 3 vya nje

Ukubwa wa eneo qmita 400

Umbali toka morogoro road mita 350 tu

Documents za serikali za mitaa

Ipo ndani ya gate

0675 065906
 

Attachments

  • 1720686838196.jpg
    1720686838196.jpg
    389 KB · Views: 16
  • 1720686830309.jpg
    1720686830309.jpg
    294.8 KB · Views: 14
  • 1720686833258.jpg
    1720686833258.jpg
    387.9 KB · Views: 16
  • 1720686835668.jpg
    1720686835668.jpg
    474.3 KB · Views: 14
  • 1720686841281.jpg
    1720686841281.jpg
    324.8 KB · Views: 15
NYUMBA NZURI SANA INAUZWA KWA NIABA YA BANK TABATA KISUKULU - DAR ES SALAM.

Mawasiliano: 0675 065906

Ina Vyumba Vitatu (3) Kimoja Master, Dinning, Sitting, Kitchen&Public Toilet
Umiliki: Mauziano Ya Serikali Ya Mtaa
Ukubwa Wa Eneo: SQM 650
Sio Mbali Kutoka Barabara Kuu Ya Lami

Bei: 32Million (Makadirio)

1720765362327.jpg
1720765373079.jpg
1720765375741.jpg
 
Back
Top Bottom