EGO REAL ESTATE
Member
- Jun 25, 2024
- 81
- 80
- Thread starter
-
- #21
Nimeona hadi picha. Ni shamba lenye vibanda vingi. Sijaona hata jengo la maana hapo lenye thamani ya milioni ishirini.
Huku kwetu eka moja inauzwa milioni moja. So ekari mbili ni milioni mbili tu.
mkuu wewe endelea kufukuza ngedere huko shamba haya mambo ya kisasa huyawezi waache wenye wanaoyajua watajilocolate wenyeweNimeona hadi picha. Ni shamba lenye vibanda vingi. Sijaona hata jengo la maana hapo lenye thamani ya milioni ishirini.
Huku kwetu eka moja inauzwa milioni moja. So ekari mbili ni milioni mbili tu.
Kwenye uhalisia WA value for money m 500 pa refu sana. M 500 mbona kuna biashara nyingi Tu mtu anafanya na hela yake unarudi fasta na bila stress.hapo ununue 500m bado unaitaji tena hela ili upate hela hapo.tuseme ni mradi WA bilioni sasa hapo.ila atapata mteja kuna watu wanapenda Tu ardhi yaaniNimeona hadi picha. Ni shamba lenye vibanda vingi. Sijaona hata jengo la maana hapo lenye thamani ya milioni ishirini.
Huku kwetu eka moja inauzwa milioni moja. So ekari mbili ni milioni mbili tu.
Hii biashara mlango wa mazungumzo upo so far Umesema neno lamaana big up sanaKwenye uhalisia WA value for money m 500 pa refu sana. M 500 mbona kuna biashara nyingi Tu mtu anafanya na hela yake unarudi fasta na bila stress.hapo ununue 500m bado unaitaji tena hela ili upate hela hapo.tuseme ni mradi WA bilioni sasa hapo.ila atapata mteja kuna watu wanapenda Tu ardhi yaani
Ushauri mzuri sana huu kwa watu wasio na hela/wasiofahamu thamani ya ardhi.mkuu wewe endelea kufukuza ngedere huko shamba haya mambo ya kisasa huyawezi waache wenye wanaoyajua watajilocolate wenyewe
𝙉𝙙𝙤 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙮𝙖𝙠𝙚 𝙈𝙠𝙪𝙪 𝙢𝙖𝙞𝙨𝙝𝙖 𝙝𝙖𝙮𝙖𝙛𝙖𝙣𝙖𝙣𝙞 𝙠𝙖𝙢𝙖 𝙢𝙩𝙪 𝙪𝙬𝙚𝙯𝙤 𝙢𝙙𝙤𝙜𝙤 𝙖𝙩𝙪𝙡𝙞𝙚 𝙖𝙛𝙖𝙣𝙮𝙚 𝙢𝙖𝙢𝙗𝙤 𝙢𝙖𝙙𝙤𝙜𝙤 𝙨𝙖𝙬𝙖 𝙨𝙖𝙬𝙖 𝙣𝙖 𝙡𝙚𝙫𝙚𝙡 𝙯𝙖𝙠𝙚Ushauri mzuri sana huu kwa watu wasio na hela/wasiofahamu thamani ya ardhi.
Usifanye hivi mkuu Tangazo langu ni kuhusu kiwanja sio mambo ya mitandaoKwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.
1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)
2. Ingia Invite & Earn
3. Bonyeza Redeem
4. Weka hii code 2ZJVO8ZK
Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Vimeshapimwa hati inatoka kwa jina la mtejaVipi kina hati (tittle deed)mkuu?
Mimi binafsi siwezi udalali, nilazima uwe na roho ngumu na dishi liwe limeumba kidogo, kuuza heka 1 kwa sh 85m mbezi Msakuzi yenye barabara ya vumbi pembeni ya jiji, unahitaji uwe na roho ngumu sanaa.Eneo linauzwa Mbezi MsaKuzi
Eneo lote lina Ukubwa wa Heka 5
Bei yake mln 85 kwa kila heka
Lina Hati ya Wizara
0675 065906