Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Aliyewaambia wasiwe na tamaa ya uongozi yeye ni wa chama kipi? Na je yeye hana tamaa ya uongozi?Hivi kuna nini CCM wameambiwa wasiwe na tamaa ya uongozi, lakini wameshindwa uvumilivu wa mchakato wa kisiasa wa kuteua wagombea ngazi ya kwenda kugombea udiwani hadi wanashikana mashati
Viswali viwili naamini utavijibu.