Wadada siku hizi wanatongoza, hawana aibu tena

Mbaya zaidi, yeye anaweza akakuelewa ila wewe hujamwelewa (kuvutia).
 
Thread kama hizi zinafanya wadada wapunguze kufunguka...
Tanzania ndo bado tunashangaa..
Wadada Kenya na kwingineko kutongoza akikuelewa kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…