DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Tatizo wanaume nao wanaolewa, sasa nani ataoa hao wanawake?Waoaji hawapo wee subiri tuu ndani ya miaka kumi ijayo mbona tutakuwa tunazikataa mbususu wenyewe
Hao wataolewa tuu wala usijali...ilisha andikwa kiwa wanawake saba watamkimbilia mwanaume mmoja ili tu waitwe ka jina lake. Patience is a virtue wee linda afya yako. Mambk mazuri yanakuja huko mbeleni, yaani mbususu zinaomba uzigegedeTatizo wanaume nao wanaolewa, sasa nani ataoa hao wanawake?
The future is femaleKuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.
Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.
Mara akaja mkufunzi mmoja wa kike, akatupa hai, tukawa tunaongea huku tunacheka. Mara yule mkufunzi akaniuliza, ''huna mdogo wako aje anioe, nimechoka kuwa mwenyewe''. Nilishtuka ghafla kutokana na huo ujasiri aliokuwa nao, mpaka kunitamkia hayo maneno bila kupepesa macho.
Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.
Ila katika kutafakari, nikahisi ujumbe ulikuwa unanilenga mimi, kwa sababu huwa nikitembea huwa sivai pete ya ndoa.
Ikabidi nimjibu kwa kifupi, nitakutafutia.
Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?
Una umri wa miaka mingapi mkuu?Kuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.
Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.
Mara akaja mkufunzi mmoja wa kike, akatupa hai, tukawa tunaongea huku tunacheka. Mara yule mkufunzi akaniuliza, ''huna mdogo wako aje anioe, nimechoka kuwa mwenyewe''. Nilishtuka ghafla kutokana na huo ujasiri aliokuwa nao, mpaka kunitamkia hayo maneno bila kupepesa macho.
Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.
Ila katika kutafakari, nikahisi ujumbe ulikuwa unanilenga mimi, kwa sababu huwa nikitembea huwa sivai pete ya ndoa.
Ikabidi nimjibu kwa kifupi, nitakutafutia.
Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?
77Una umri wa miaka mingapi mkuu?
Kweli kabisa, waaume wanazidi kupunguaKwann msitongozwe sasa mmekuwa madomo zege na idadi yenu kupungua baadhi kuingia chama cha upinde mdada lazima ajiongeze mwenyewe 😅
maana mnaenda kuwa adim miaka ijayo
HowThe future is female
Mashoga wanaharibu ulimwenguTatizo wanaume nao wanaolewa, sasa nani ataoa hao wanawake?
Kuna wanaume ni madomo zege....njia hii nakuwa nimemsaidia pia
Pili kupata unachokitaka...unapomwitaji mtu na kumweleza ukweli means huyo ndo moyo umeridhia
Tatu,nasi tuna moyo,tunapenda ivo ni haki yetu kupata tunachostahili
NB:Bidada,ukimpenda mtu usivunge eti kuogopa jamii itakuchukuliaje....ukitongoza au ukitongozwa ukakubali na ukatoa papuchi...bado threads zitakuja kuuliza "hivi kwanini wasichana wa sikuhizi ni rahisi mno?" Wanaume wengi hawajui wanachokitaka sikuzote
Mkuu una bahati sana.
Nipo, nimejaa tele, hofu kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu.🤣🤣🤣 Upo?
Ni haki kuelezea Hisia, ila ukweli ni kwamba Mwanaume ndio anapaswa kuanzaa, yaani tukiongelea nature na tamaduni.. Hii ya kisasa tunafosi tu.. Ila ukweli wanaume wengi wanaotongozwa na wanawake they feel low, hata wakiwa ktk mahusiano wengi wanaona wajibu wao umechukuliwa na mwanamke, huwa wa nawaza kama alinitongoza yeye, si anaweza ongoza wengine? Mara nyingi huwa wasumbufu ktk mahusiano just to demand their position as man maana they feel ilitekwa wakati anakubali kutongozeka.. Hugeuka kuwa kama chumaulete kwa wanawake.. Yaani so demanding... Ndio unaona wadada wa nahangaika Sana kuwapa kila kitu ili wasiwaache... Yaani kama unamtu wa hivyo... Hesabu tu huna mpenzi... Tembea tu.. Mwombe Mungu akupe atakae kupenda🙏Kwasababu nao wana hisia na wanajitambua
Ama ni illegal kuelezea hisia kwasababu ya kuwa mwanamke?
Miaka10 gani??akati mi sahizi nazikimbia mwenyewe we jamaa bhana..yaani mbususu zimekuwa kibao mpaka nakula kona,naona sio mda ntaukwaa ukediWaoaji hawapo wee subiri tuu ndani ya miaka kumi ijayo mbona tutakuwa tunazikataa mbususu wenyewe
Ila sijaona alipokutongoza ujue au sijasoma vizuri
Halafu dhana ya tumetoka mbali haina mashiko siku hz kaka
Unaweza kutana na mtu mwezi huu miezi mitatu mbele anakuwa life partner na mnafika mbali
Ukimpenda wala hutoangalia visababu vidogovidogo km hvyoNdio inawezekana ila muwe mnafana fanana sehemu nyingi.. sio mmoja tajiri ana mali kibao.. mwingine anamiliki lipstic, viatu na mikoba halafu aseme mnafika mbali huku anakutaka sababu ya faida zake kiuchumi
Ukimpenda wala hutoangalia visababu vidogovidogo km hvyo
Wapi huko na mie nitie mguu japo nipate kula mbususuMiaka10 gani??akati mi sahizi nazikimbia mwenyewe we jamaa bhana..yaani mbususu zimekuwa kibao mpaka nakula kona,naona sio mda ntaukwaa ukedi
Aisee..yaani tukio moja tu umefanya majumuisho kwa wote..sidhani kama sampuli yako ni sahihi.Kuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.
Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.
Mara akaja mkufunzi mmoja wa kike, akatupa hai, tukawa tunaongea huku tunacheka. Mara yule mkufunzi akaniuliza, ''huna mdogo wako aje anioe, nimechoka kuwa mwenyewe''. Nilishtuka ghafla kutokana na huo ujasiri aliokuwa nao, mpaka kunitamkia hayo maneno bila kupepesa macho.
Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.
Ila katika kutafakari, nikahisi ujumbe ulikuwa unanilenga mimi, kwa sababu huwa nikitembea huwa sivai pete ya ndoa.
Ikabidi nimjibu kwa kifupi, nitakutafutia.
Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?