Waislamu kwenye ndoa na mazishi wametuacha mbali sana Wakristo

Nani kakwambia kuwa mwanamke aliyeachika hataki kuolewa tena??
Wapo wanaachika na hawataki kuolewa tena , Allah hakujua hilo yeye akasema ili akurudie lazima akapigwe pipe kwanza ata kama mmeachana mwezi , lazima aende kwa mwanaume mwingine aolewe apigwe pipe ndio mrudiane ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿคฃ
 
Hata wakristu wametuzidi mbali mfano mboga kama kitimoto haiihitaji mlolongo mrefu, watoto wa kike wanasoma maana hawaolewi wakiwa na miaka 9, na mwisho wamewazdi kumuachia Mungu wa kweli akapambane na mwenye kudhihaki dini yake siyo kumchinja kisa kadhihaki dini ya Mungu muweza wa yote anayestahili kutoa adhabu.
 
kabisa, uko sahihi. Wakristo wamecomplicate sana maisha na yanawashinda
 
Wapo wanaachika na hawataki kuolewa tena , Allah hakujua hilo yeye akasema ili akurudie lazima akapigwe pipe kwanza ata kama mmeachana mwezi , lazima aende kwa mwanaume mwingine aolewe apigwe pipe ndio mrudiane ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿคฃ
Umekazania kutumia neno "Kupigwa pipe " ili ionekane ni jambo baya wakati hata wewe ulipatikana baada ya mama yako kupigwa pipe na mzee wako?? Au hulijui hili?

Sheria imeshabainisha hivyo, Aliyetuumba ndio ameamrisha hivyo kuwa mwanamke ulishaachana nae kwa talaka 3 hupaswi kumuoa tena mpaka pale atakapoolewa na mwanaume mwingine na kisha akaachika. Period
 
Mbona daudi hakumuachia Mungu akapambane na goliath?? Mbona alisonga mbele vitani kwenda kupambana...ndio tuseme wewe ni mchamungu sana kuliko daudi?
 
Nini tafsri ya mahali? Ukimpa Binti hiyo pesa ni tofauti gani na aliyeko kwenye danguro anakutajia kiasi mnaenda kunyanduana baadae Yuko huko huru kusepa?? Wa kukolomea mkewe hivyo hajui tafsri ya mahali.
 
Masha Allah!.
 
Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha, siyo kesho tu akifariki asubuhi jioni anaweza kuzikwa kama hakuna vikwazo vya aina yoyote ile.
 
Kuna binti wa kiislamu kaolewa Kwa mahali ya milioni 3 niliona mwenyewe karatasi la makubaliano sheikh Katia na mhuri
 
Umekazania kutumia neno "Kupigwa pipe "

Sheria imeshabainisha hivyo, Aliyetuumba ndio ameamrisha hivyo kuwa mwanamke ulishaachana nae kwa talaka 3 hupaswi kumuoa tena mpaka pale atakapoolewa na mwanaume mwingine na kisha akaachika. Period
Kwa nini kupigwa pipe ni muhimu , ata kama umemuacha ndani ya mwezi mkataka kurudiana lazima mwanaume mwingine achomeke pipe kwanza akimuoa bila kumpiga pipe hairuhusiwi
Kumbuka Huyu Mama aliolewa na Abdur Rahman kwa kijanja ili aachike arudiane na Rifa , Muhammad akasema hawezi kurudi kwa Rifa mpaka apigwe pipe na Abdur ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ pumbavu kabisa

Kisa kilicho leta hiyo Sheria
Rifa alimpa talaka mke wake badae huyu mwanamke akaolewa na adburrahman, huyu mwanamke akawa anapoke kipigo kutoka kwa abdul mpaka akawa wa kijani , akaenda kwa Muhammad kushtaki , muhammad hakujali kipigo alicho pewa ila akamwambia kama unataka kumuacha abdul urudi kwa rifa lazima abdul apige machine kwanza ndio urudi kwa mume wako wa mwanzo,
...."If that is your intention, then know that it is unlawful for you to remarry Rifa`a unless `Abdur-Rahman has had sexual intercourse with you.....Sahih al-Bukhari
 
Wa kristo kitendo cha kuweka taraka kuwa ngumu ndio wanaopelekea kuuwana kila siku,ila huwezi kuta waislam wanauwana kwa sababu mkichokana kila mtu anatafuta safari yake
Ukikuta wakristu wanauana kisa ugumu wa taraka ujue Kuna waislamu wanamwagana utumbo kisa misimamo mikali.
 
Muhammad alizikwa mapema ili afufuke lakini wapi!
 
Kwahiyo Mo na Bwana Asas ndo kiigizo kwa Waislamu?
Mwenye akili havuti mizigo mingi ndani! Hz ni za wazinzi, mfano wewe kitoto Cha miaka 9 kinakutamanisha na nini Bado kinanuka mikojo??? Sasa Kuna role model wa watu alioa kitoto Cha miaka 9 kisa wa 18+ washazibuliwa wote
 
Sababu za kitoto kabisa! Wanaohuaisha wanawake katka maziko hayo hayafanyiki? Sema kama Kuna agenda za Siri.
 
Hatari sana
 
Yalinenwa pale KKKT ya Kijitonyama mkuu kapewa adhabu ya benchi! Kumbe ni kweli. Hivi karejeshwa??
Dunia bhana, kumbe Hilo mlilishika sana ila aliyesema misikiti aifanye kuwa Sunday school hamkulijali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ