Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eh aseee hadi kiarabu take it easy mzeeHuyo rafiki yako alijitesa tu nafsi yake kwa complications kama wanavyofanya baadhi ya Waislam ku complicate. Ukweli ni kuwa katika Uislam hakuna complications katika mambo ya ndoa. Ni taratibu za kishariah zinafuatwa ndoa inafungwa
حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ، حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ وَهْبٍ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ الْجُهَنِيِّ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ عُمَرَ بْنِ عَلِيِّ بْنِ أَبِي طَالِبٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَلِيِّ بْنِ أَبِي طَالِبٍ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ لَهُ " يَا عَلِيُّ ثَلاَثٌ لاَ تُؤَخِّرْهَا الصَّلاَةُ إِذَا آنَتْ وَالْجَنَازَةُ إِذَا حَضَرَتْ وَالأَيِّمُ إِذَا وَجَدْتَ لَهَا كُفْؤًا " . قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ غَرِيبٌ وَمَا أَرَى إِسْنَادَهُ بِمُتَّصِلٍ .
Grade: Sahih (Darussalam)
Reference : Jami` at-Tirmidhi 1075 In-book reference : Book 10, Hadith 111 English translation : Vol. 2, Book 5, Hadith 1075
Kalisome vzr Hilo andiko acha kukurupuka mkuu.Embu tusaidie kufafanua ili andiko
Mathayo 5:32 BHN
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, ...
Kwahiyo Mo na Bwana Asas ndo kiigizo kwa Waislamu?Labda kuoa wake wengi
Ambayo sio sifa
Mo na asas wana mke mmoja mmoja
Wewe chakubanga unakaa nyumba ya kupanga unawake wanne
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhHamia kwao
Kila dini na taratibu zake
Mbona sisi tumewaacha mbali kwenye umiliki wa shule hospital vyuo
Hapo hujilinganishi nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kuoa na kuzika Kuna faida gani hapa duniani,ukifa wewe ni mzoga tu,Ndugu zangu japo mimi ni mkristo ila hawa ndugu zetu waislamu linapokuja suala la ndoa na mazishi huwa hawana mambo mengi.
Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha.
Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume akaridhia mahari dhidi ya binti ni fasta to ndoa inafungwa.
Mahari zenyewe ni kawaida tu si kama huku kwetu, wanachojali wao ni watu waowane na ndio maana ni ngumu sana kukuta jamii nyingi za waislamu wanaishi pamoja bila ndoa.
Wewe au ukoo wenu mna shule au hospital ngapi?Hamia kwao
Kila dini na taratibu zake
Mbona sisi tumewaacha mbali kwenye umiliki wa shule hospital vyuo
Hapo hujilinganishi nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Top 10 ya matajiri tanzania na ile ya africa imejazwa na waislamu, unalijua hilo?Sasa kuoa na kuzika Kuna faida gani hapa duniani,ukifa wewe ni mzoga tu,
Raisi hata akiwa Islam,hata zikwa chapchap,ni protocal tu,
Badala ya kuwaza na kujilinganisha na vitu vyenye maana na thamani kiuchumi,sayansi,kilimo,nguvu za kijeshi,unajilinganisha na upuuzi,
Sasa hao Islam na taratibu zao za mazishi na ndoa,wanawazidi nini wachina,wahindi,wazungu?boers,?ni umaskini tu!!!
Ni Sawa Sawa na wakristo wanaoshinda makanisani,lakini wanaendesha maisha kwa ajira za mchina,muhindi,asiyeenda kanisani,anashinda anacheza kamari casino!!!sasa hapo mwenye akili Ni nani,unamsema mwenzio kuwa mpagani,mtu wa mataifa!!lakini ndio anakuweka mjini hapa kwa ajira aliyokupa
Ni mwanamke wa kiislamu. Tena ilikuwa hivi.
Tupo kwenye basi tunatoka Arusha sasa njiani basi likasimama kupisha watu waliokuwa wamebeba mwili wa ustadhi wanaupeleke mkisikitini kuuswalia na wapo wanaume tu.
Ndiyo mtu mmoja akauliza, kwanini wanawake hawaruhusiwi kwenda kuzika? Likatoka hilo jibu
Hakna Sheria ya Kikristu inoruhusu wanandoa kuachana sababu ya uzinzi elwa Hilo kwanza! Kutoa roho ya mtu inaruhusiwa? Ustaarabu mzur Ni ndoa zidumu hakna blah blah mmezaa watoto so wanahtaj malezi yenu nyote baba na mama
Sheria sio ya Muhammad bali ni Sheria ya mwenyewe MUNGU!Muhammad aliweka Sheria ukitoa talaka , huyo mwanamke hawezi kurudi kwako mpaka apigwe machine na mwanamume mwingine ndio arudi kwako mtoa talaka
-Yani mwanamke anaadhbiwa akiwa amepewa talaka kwa kwenda kwa mwanume mwingine apigwe pipe kwanza
Kisa kilicho leta hiyo Sheria
...."If that is your intention, then know that it is unlawful for you to remarry Rifa`a unless `Abdur-Rahman has had sexual intercourse with you.....Sahih al-Bukhari
Hizi ni tabia za watu wasiostaarabika/primitive/nomadic people. Wamasai ukifika wanakuacha kwenye kanyumba uliwe na fisi wao wanatimka, unapenda hiyo?Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha.
Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume akaridhia mahari dhidi ya binti ni fasta to ndoa inafungwa.
Sina mda wa kubishana nawewe! Imeandikwa wataachana kwa sababu ya uasherati sio uzinzi,unakua mbishi kwa Vitu usivyovijua, haya Google ivi mathayo 5:32 af ukipata jibu Nini limeandikwa ulete mrejeshoWewe ni mristo kweli au ni mristo jina ??.
Wakristo waliofunga ndoa ya kikristo hawawezi kuachana kwa hali yoyote isipokuwa uzinzi tu, yaani kama Mke kabainika kufanya zinaa ni hapo tu ndipo mume anaweza kumuacha mkewe.
Soma injili uujue ukristo wako vyema.
Sina mda wa kubishana nawewe! Imeandikwa wataachana kwa sababu ya uasherati sio uzinzi,unakua mbishi kwa Vitu usivyovijua, haya Google ivi mathayo 5:32 af ukipata jibu Nini limeandikwa ulete mrejesho
Hivi wewe ni mtu wa wapi usiyejua kiswahili ??!!---- Tofauti ya uasherati na uzinzi ni nini??
Au ni wakati gani mtu anakuwa muasherati na ni wakati gani mtu anakuwa mzinzi??
Kwani Waislam ndio wanafanya hivyo?Hizi ni tabia za watu wasiostaarabika/primitive/nomadic people. Wamasai ukifika wanakuacha kwenye kanyumba uliwe na fisi wao wanatimka, unapenda hiyo?
Hii si zinaa?umgemwambia atoe barua halafu unabeba mimba....kwenu wenyewe wangeshusha mahari
Hiyo zinaa wanaiepuka?
Nakujibu coz nahitaj kukufungua akili! Uzinzi huhusisha wanandoa lazima mtu awe ameoa ndo azini, lakini uasherati unahusisha wasiooa ,nadhani umenelewa
aisee una hatariKweli kabisa na mwanamke kazi yake ni kuchakatwa tuu haruhusiqi hata gengeni aende hiyo ni kazi ya mwanaume