Hahaha kwa Wasalipa kule😅 wale wapiga kazi kweri kweri sio lege lege.Mbeya mjini ni pa wasafwa wewe kiasili[emoji23].
Mbona nakuambia kila siku mimi nimetokea mkoa wa mawife matirio ulikooa.
Wanapenda kuwaonea wanyakyusa bure wakati mbeya tupo wandali,wanyiha,wasafwa,wanyamwaga,wanyakyusa na wengine wengi.Umekariri vibaya babe, kuna hadi wachaga na wasukuma huko[emoji2957]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amna mchaga mweusi hivyo[emoji28]
Eh hakuna mzembe kule.Hahaha kwa Wasalipa kule[emoji28] wale wapiga kazi kweri kweri sio lege lege.
Amna bwana we mchaga mweusi sijawahi muona bana😅![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona wapo,tena weusi kuliko mimi.
Sio hizi takataka za Daddy im going 😅Eh hakuna mzembe kule.
Wapo wengi tu mbona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amna bwana we mchaga mweusi sijawahi muona bana[emoji28]!
Mwalindwa?
Tunafanya kaziSio hizi takataka za Daddy im going [emoji28]
Hahahahahaha kweli eehTunafanya kazi
Tunapokuwa (sisi)
Tumezidiwa(sisi)
Mtuelewe(sisi)
Wachapakazi(sisi)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa sauti ya Richie
Kabisa ukisema tu you're from green city basi wewe ni mnyakyusa na sifa zote mbaya ni zetu aargh tunaonewa sana SisiWanapenda kuwaonea wanyakyusa bure wakati mbeya tupo wandali,wanyiha,wasafwa,wanyamwaga,wanyakyusa na wengine wengi.
Kama anamapungufu hayo lakini hachepuki kaa nae.. tafuta namna nzuri ya kumfundisha kupika, Jay-Z kaishi na Beyonce miaka yote lakini alimkuta Beyonce hajui kupika sijui Kwa sahiviNGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Wachaga weusi kibao tu wapoAmna bwana we mchaga mweusi sijawahi muona bana😅!
Mwalindwa?
Unamaanisha strong men ni wale wanaovumiliwa kugongewa na kupangiwa ratiba za show au sio??Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Halafu umechapia..Amna bwana we mchaga mweusi sijawahi muona bana[emoji28]!
Mwalindwa?
Mie mgeni humo naiba iba tuHalafu umechapia..
Ni "mwalinda?"
Sijui niseme "hansi" au "panandi"
Lugha zote nazimanage vizuri +ya ndugu zangu akina tununu.
Eti ndezi😂😂😂😂Heheheheh ujiandae kurudi kwenu tu, unless otherwise uolewe na ndezi tu
Waifu akupigishe pigishe tiziMie mgeni humo naiba iba tu
Eeh kadri siku zikienda ntajua juaWaifu akupigishe pigishe tizi
Bahati mbaya sana africa mwanamke 'kuishi kama mke' hakumfaidishi huyo mwanamke! Bali ni kwa faida ya mumewe tu yaani furaha ya mwanamke kwenye ndoa haina umuhimu!Kwamba ulete matatizo kwenye ndoa alafu useme "umejitambua?"
Hebu ishi kama mke uone kama kuna mtu atakunyooshea kidole
Khaa kwahiyo ukiwa Mbeya hiyo hela huwezi kutuma? Ndiyo muone raha ya kulazimisha mtu afanye majukumu yake hata kama haiwezekani kwa muda huo yaani that is exactly how women feel pale mumeo anapokuambia "mimi hata kama unafanya kazi na unarudi usiku majukumu yako lazima ufanye"!Kama si kukosa akili ni kitu gani? Yani ikitokea tatizo ambalo unaweza solve immediately ni mpaka umsubiri mume? Mtoto kaumwa ghafla unamsubiri babaake atoke Safarini Mbeya ili aje amtibie mtoto.
Sometimes mjitahidi kuficha ujinga wenu jamani[emoji41] ndoa is a bond between two people ambao mmeamua ku partner kimaisha.