Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

Nimeona kule Instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Mzushi tu huyo angekuwa nayo anavyopenda misifa angekuwa ameshaiweka.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Alowateua ndio wanaomtukana. Huyo mwanaharakati anaingilia mlango upi?

Vijana wa jk walimtukana JPM hukuyasema haya, sasa vijana haohao wakiongozwa na Januari wanamtukana Samia unajifanya nunda!! Samia anatukanwa na kina Januari sasa asuke au anyoe
 
Labda wote wanajua anayoyasema huyu binti ni ya kweli. Ukichunguza huyu mama haeleweki kwenye hafla kubwa viongozi wengine wanaenda na wenza wao. Yeye ni nadra sana kumuona na mwenza wake.
 
Hahaha hakuna uchafu, kama yeye anayo hiyo video maana yake ni vitu vya kawaida, Rais Samia mke wa mtu lipi lakushangaza hapo.
Aitoe tu tuione labda tutajifunza kitu, woga wa nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…