Kama walikuwa sahihi kwa nini wanaogopa kurekodiwa? Mimi naona badala ya kulilia katiba mpya tulilie someone la ustaarabu mashuleni tangu chekechea. Kwani mtu asiyekuwa mstaarabu hata katiba mpya ataivunja kwa kuwa Hana aibu na haheshimu haki na Hana upendo.Wanajua ushahidi wa kweli utawaumbua.
Wanalinda usalama wa nani watu wa namna hii?
Hawa hawatufai asilani.
Ni muhimu hatima ya kadhia hii ikawekwa wazi.
Hta kama amefanya kosa kuna taratibu za kisheria za kufuata na sio kujichukulia sheria mkononi.Wamefanya kosa gani hao Askari? Unajua chanzo cha hilo tukio lilikuwa nini? Au umesikiliza clip upande mmoja tu unakuja kuropoka humu?
Kama walikuwa sahihi kwa nini wanaogopa kurekodiwa? Mimi naona badala ya kulilia katiba mpya tulilie someone la ustaarabu mashuleni tangu chekechea. Kwani mtu asiyekuwa mstaarabu hata katiba mpya ataivunja kwa kuwa Hana aibu na haheshimu haki na Hana upendo.
Yamerudi yale ya ‘wajua mie ni nani, nitakupoteza’?!Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.
Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?
Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.
Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.
Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.
Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.
View attachment 2182358
Kuna alama yoyote imewekwa hpo usalama wa taifa au ndio ujiongeze hta km hujui?Mbona vijana mnakuwa wapumbavu na wajinga kiasi hiki cha lami? Do we read kweli sheria?
Hivi unajuwa usalama wa Taifa nieneo hatari kurecord au kufanya chochote?
Unajuwa kwakufanya kosa hilo unaweza kupotea natusikuone mpaka kiama pasipo jali wewe ni mtoto wa nani?
Je unajuwa maeno kadhaa ktk jiji la dsm nihatari hata kupak gari nje?
Je unajuwa call zote na watu wanapita nje ya ofisi za usalama wa Taifa zinakuwa intercepted kutoka mbali sana?
Haya utampigia mjomba wako mbunge... Kwa ujinga na upumbavu wako.
Katika hatari ya kujilinda usidhurike sio kosaKwani kupiga picha au video kwenye majengo ya serikali siyo kosa?
Sheria inasemaje panapotokea traffic incident?Wamefanya kosa gani hao Askari? Unajua chanzo cha hilo tukio lilikuwa nini? Au umesikiliza clip upande mmoja tu unakuja kuropoka humu?
Mwanajeshi haruhusiwi kufyatua risasi kwa raiaCombats tokea upande wa pili na bunduki hakuwa na namna.
Makosa aliyofanya ni pamoja na kuendelea kuifuata kwa nyuma gari ile. Kusubiri nyuma hata iliposimama. Yote akiamini hana makosa.
Uko sahihi mkuu, mtu mwenye akili lazima upate maelezo ya pande zote,Siwezi kuamini maneno ya upande mmoja bila uthibitisho!
Unachofanya wewe ni kuhukumu kesi kwa kusikiliza upande mmoja
Mi ninae..mjombangu ni mjomba wako usijaliTusiokuwa na wajomba tuna koment wapi?
Ujaona gari yao wameisimamisha wapi kwenye highwayWamefanya upumbavu gani?
Unaelewa ni kosa kuvunja sheria hata kama huijui?
Nani kadhibitisha uwezo wako wa kukamta? Akifa je in the process na wewe si polisi? Bila RB? Hamna kitu kama hicho?Sheria inaruhusu mtu yeyote kufanya arresting!
Hata wewe unaweza kumu arrest muhalifu akifanya kosa