Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Wanajua ushahidi wa kweli utawaumbua.

Wanalinda usalama wa nani watu wa namna hii?

Hawa hawatufai asilani.

Ni muhimu hatima ya kadhia hii ikawekwa wazi.
Kama walikuwa sahihi kwa nini wanaogopa kurekodiwa? Mimi naona badala ya kulilia katiba mpya tulilie someone la ustaarabu mashuleni tangu chekechea. Kwani mtu asiyekuwa mstaarabu hata katiba mpya ataivunja kwa kuwa Hana aibu na haheshimu haki na Hana upendo.
 
Kama walikuwa sahihi kwa nini wanaogopa kurekodiwa? Mimi naona badala ya kulilia katiba mpya tulilie someone la ustaarabu mashuleni tangu chekechea. Kwani mtu asiyekuwa mstaarabu hata katiba mpya ataivunja kwa kuwa Hana aibu na haheshimu haki na Hana upendo.

Mkuu umeanza vizuri ila umaliziaji. Kumbuka haki ni kwa mujibu wa katiba si kwa mujibu wa shule.
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Yamerudi yale ya ‘wajua mie ni nani, nitakupoteza’?!
Ni ushamba, ujinga, tatizo la akili na ulimbukeni…
 
Mbona vijana mnakuwa wapumbavu na wajinga kiasi hiki cha lami? Do we read kweli sheria?
Hivi unajuwa usalama wa Taifa nieneo hatari kurecord au kufanya chochote?
Unajuwa kwakufanya kosa hilo unaweza kupotea natusikuone mpaka kiama pasipo jali wewe ni mtoto wa nani?
Je unajuwa maeno kadhaa ktk jiji la dsm nihatari hata kupak gari nje?
Je unajuwa call zote na watu wanapita nje ya ofisi za usalama wa Taifa zinakuwa intercepted kutoka mbali sana?
Haya utampigia mjomba wako mbunge... Kwa ujinga na upumbavu wako.
Kuna alama yoyote imewekwa hpo usalama wa taifa au ndio ujiongeze hta km hujui?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hao jamaa wawajibishwe tu. Tabia za hawa jamaa kujiona miungu watu inakera sana
 
Combats tokea upande wa pili na bunduki hakuwa na namna.

Makosa aliyofanya ni pamoja na kuendelea kuifuata kwa nyuma gari ile. Kusubiri nyuma hata iliposimama. Yote akiamini hana makosa.
Mwanajeshi haruhusiwi kufyatua risasi kwa raia
 
Siwezi kuamini maneno ya upande mmoja bila uthibitisho!

Unachofanya wewe ni kuhukumu kesi kwa kusikiliza upande mmoja
Uko sahihi mkuu, mtu mwenye akili lazima upate maelezo ya pande zote,
Pengine hao machalii waliingilia msafara jambo ambalo ni kosa kubwa.
Dogo katoa maelezo yake lakini ya huyo tunayemuita TISS yanatakiwa pia ili kupata mizania

Lakini jambo la kijinga hapo ni kukubali mtu aliyevaa kiraia, bila kujitambulisha kukuamuru tu upaki gari lako.
Kama ni wezi, watekaji nk je? Au wahalifu hawatumii V8.
Madogo walikuwa na haki ya kugoma mpaka atoe ID au aite wale wenye uniform waje kujitambulisha kwa ID
 
Nasikiaga tu Wazee wa Makumbusho Kumbe ndio humo? Huwa napitaga ila sikuwahi kujua
 
tazama clip kwa makini sijaelewa distance iliyopo mwanzo ile gari nyeusi na hii
ya uyu dogo (kaka wa mbunge)... ni kama bado alikuwa na opportunit ya kupita kulia au

kushoto na kuondoka hadi akawa amesubiri hyo gari imemsogelea tena.
 
Back
Top Bottom