Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358

Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Zile enzi za 'unanijua mimi nani' zimerudi upyaaaa
 
Pale lugalo kuna siku wamepitisha gari yao njia isiyo sahihi na Mimi napita zangu kasi nashtuka gari kuubwa hili hapa na mjeshi mp kasimama ananisimamisha.

Nikaambiwa nilitaka kumgonga mp na kuvamia vifaa vya jeshi. Nikaelekezwa kupaki gari na kuingia ndani.

Nilipoingia wakaniambia kaa chini, nikakaa, lala, nikalala. Toa kila kitu mifukoni nikatoa. Akachukua dumu la maji kutaka kunimwagia ndio niondoke. Nikawa nawaangalia tu nimetulia.

Mmoja alikuwa na bunduki akasogea na kuwasemesha wale wengine kisha wakaanza kuniuliza unafanya kazi wapi? Nikawaangalia tu na kusema nyie malizeni mlichopanga.

Basi jamaa wakaingiwa na hofu wakaniambia niondoke. Nikaondoka.

Ujasiri ni ushindi.
 
Uandike tiss wawajibishwe... Zile kombati ni tiss walinzi ukipita makumbusho unawaona pale getini
 
Wajeda hawajafanya poa ila na yeye jamaa ana chembechembe za uzembe ndani yake.

Kuna watu wanapenda sana haki ilhali hapa kwwtu huwa haipo, wewe umeona jamaa kakuchomekea kakukosa, jamaa kaja simama mbele yako yote hiyo anakutafuta tu. Unaacha kutafita upenyo usepe we unakaa kumsubiri hadi ashuke mbishane na ushajua atakuletea matatizo ikiwemo kukupotezea muda.

Kuepusha zogo ni kusepa tu, ushajua hawa watu akili zao ni ndogo nenda nao ivoivo uepukane na upotezewaji wa muda bila sababu za msingi, mashahidi wenyewe waoga kichizi hata kushuka hawashuki.
Kiukweli hata sielewi kwanini alisimama, mi ningenyoosha direct hadi parking za mcity mule ndani, napaki kisha naingia century cinemax kula movie hadi nite kali
 
WHY mwenzake anamwambia "waombe msamaha"... yawezekana kuna kosa walifanya huko nyuma?

WHY aliamua kulifuatilia hilo gari kwa kurekodi... ili iweje?

Kama anavyodai kijana, let say hao officers ndiyo wenye makosa (rough driving kumchomekea), WHY tena hao officers wamblock kwa mbele ili kum-detain?

Something doesn't add up. Otherwise, it is unlawful detention and very unprofessional!

The video clip has now been publicly circulating and gone viral. Hopefully mamlaka husika zinalifuatilia suala hili. Thanks to technology.

In Africa, mtu aweza kuzikwa hai and nobody gives a sh.it. 😎

-Kaveli-
 
Watalindana tu. Yaani sijui kila mtu akitumia madaraka na nafasi yake nani ataumia.
 
We unategemea hata trafiki angekuja akakuta jamaa ni usalama angekuwa upande wa hio IST? Unless uwe mgeni Tanzania hii!!!
Hiyo kweli kabisa, usitarajie hawa jamaa wakachomana, hiyo haipo...
Ukiwa na kesi na polisi halafu mwamuzi ni takukuru au una kesi na mtu wa tiss au JW halafu mwamuzi polisi nk, hata kama wewe raia ndo mwenye haki ujue umeumia
 
Pale lugalo kuna siku wamepitisha gari yao njia isiyo sahihi na Mimi napita zangu kasi nashtuka gari kuubwa hili hapa na mjeshi mp kasimama ananisimamisha.

Nikaambiwa nilitaka kumgonga mp na kuvamia vifaa vya jeshi. Nikaelekezwa kupaki gari na kuingia ndani.

Nilipoingia wakaniambia kaa chini, nikakaa, lala, nikalala. Toa kila kitu mifukoni nikatoa. Akachukua dumu la maji kutaka kunimwagia ndio niondoke. Nikawa nawaangalia tu nimetulia.

Mmoja alikuwa na bunduki akasogea na kuwasemesha wale wengine kisha wakaanza kuniuliza unafanya kazi wapi? Nikawaangalia tu na kusema nyie malizeni mlichopanga.

Basi jamaa wakaingiwa na hofu wakaniambia niondoke. Nikaondoka.

Ujasiri ni ushindi.
Wenye vyeo vya chini ndiyo wana mambo hayo
Mambo mengine ni kukaa mna zungumza mnaeleweshana tu
Maisha yanaendelea

Ova
 
WHY mwenzake anamwambia "waombe msamaha"... yawezekana kuna kosa walifanya huko nyuma?

WHY aliamua kulifuatilia hilo gari kwa kurekodi... ili iweje?

Kama anavyodai kijana, let say hao officers ndiyo wenye makosa (rough driving kumchomekea), WHY tena hao officers wamblock kwa mbele ili kum-detain?

Something doesn't add up. Otherwise, it is unlawful detention and very unprofessional!

The video clip has now been publicly circulating and gone viral. Hopefully mamlaka husika zinalifuatilia suala hili. Thanks to technology.

In Africa, mtu aweza kuzikwa hai and nobody gives a sh.it. 😎

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom