Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Shida siyo Katiba.

Tuna shida na katiba.

Kwani mafwedhuli hawa bado wako kazini hata sasa? Bosi wao je? Waziri naye?

Yupi tuna mamlaka ya kumwajibisha kama haturidhiki kwenye hiyo chain?

Kwani hata Mama naye anasema je?
 
Tuna shida ni katiba.

Kwani mafwedhuli hawa bado wako kazini hata sasa? Bosi wao je? Waziri naye?

Yupi tuna mamlaka ya kumwajibisha kama haturidhiki kwenye hiyo chain?

Kwani hata Mama naye anasema je?
Shida ni uoga wa Watanzania kusimamia Katiba.

Hii iliyopo kama Watanzania wangekuwa na ujasiri wa kuisimamia ipasavyo haya yote usingeyaona.

So hata Katiba Mpya ikija na uzuri gani, bado mambo yatakuwa yaleyale as long as wasimamizi na watekelezaji ni hawahawa.

After all hitaji la Katiba Mpya baada ya 2015 imejulikana ni la wanasiasa, siyo wananchi.
 
Shida ni uoga wa Watanzania kusimamia Katiba.

Hii iliyopo kama Watanzania wangekuwa na ujasiri wa kuisimamia ipasavyo haya yote usingeyaona.

So hata Katiba Mpya ikija na uzuri gani, bado mambo yatakuwa yaleyale as long as wasimamizi na watekelezaji ni hawahawa.

After all hitaji la Katiba Mpya baada ya 2015 imejulikana ni la wanasiasa, siyo wananchi.
Exquisite 😍
 
Shida ni uoga wa Watanzania kusimamia Katiba.

Hii iliyopo kama Watanzania wangekuwa na ujasiri wa kuisimamia ipasavyo haya yote usingeyaona.

So hata Katiba Mpya ikija na uzuri gani, bado mambo yatakuwa yaleyale as long as wasimamizi na watekelezaji ni hawahawa.

After all hitaji la Katiba Mpya baada ya 2015 imejulikana ni la wanasiasa, siyo wananchi.

Inajulikana na nani ndugu?

Wananchi wanataka katiba mpya sasa wasiotaka kina nani?

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Kiswahili kigumu ndugu. Hivi unajua hata mgambo ni wanajeshi? Au kwako mwanajeshi ni nani?
Kweli kiswahili kigumu, ulishasema Mgambo Mimi nikuambie kuwa kuwa Mgambo ni Mwanajeshi tena?

Kwa taarifa yako kwa vile ujui kama ujui leo sasa nakufahamisha kuwa Kuna wanajeshi, Kuna polisi, Kuna TISS, Kuna magereza, zimamoto, uhamiaji, wanyama pori na wengine.

Hacha kubabaishwa na maneno ya kisiasa hayo., Wote hao wakisimama pamoja akatokea mtu akasema wanajeshi wasimame kulia, hakuna polisi wala TISS atakaechomoa pua yake kwenda kulia. Wewe kama polisi utabaki kuwa polisi tu.
 
Inajulikana na nani ndugu?

Wananchi wanataka katiba mpya sasa wasiotaka kina nani?

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
That was long before 2015.

Baada ya 2015, kupitia katiba ileile, tuliona mabadiliko makubwa sana ya kiutendaji yakatuletea maendeleo ndani ya muda mfupi.

Wananchi wa kawaida, ambao ni wengi, tunahitaji maendeleo and Magufuli proved tunaweza kuyapata kwa Katiba hii tuliyonayo.

Nyie wanasiasa mnajua kabisa kwa katiba hii hamtoboi ndio maana mnaililia nyingine.

But trust me, Katiba hiihii ina uwezo mkubwa sana wa kusimamia na kutuletea maendeleo.

Kwahiyo Katiba Mpya ni hitaji lenu wanasiasa. Muacheni mama avenge nchi, tunataka maendeleo.
 
Shida ni uoga wa Watanzania kusimamia Katiba.

Hii iliyopo kama Watanzania wangekuwa na ujasiri wa kuisimamia ipasavyo haya yote usingeyaona.

So hata Katiba Mpya ikija na uzuri gani, bado mambo yatakuwa yaleyale as long as wasimamizi na watekelezaji ni hawahawa.

After all hitaji la Katiba Mpya baada ya 2015 imejulikana ni la wanasiasa, siyo wananchi.
Hebu tueleweshe tuisimamieje Katiba yetu Sisi wananchi wa chini?
 
Hizi ni zile hadithi mazuzu wanapenda kusikia. Katiba Mpya yanaogopa kuliko ukoma.
Kwani ni yenu? Wenye nayo wanaoidai si muwape?
inaonesha mambo yalishaisha na simu imerudishwa ndio maana tumeiona clip hewani ikisambaa kila kona
ni Nchi kibao hivi vitendo tunaona manyanyaso ya hawa watu, DRC Uganda, Kenya, bado Ukraine.
Baada ya Vita vya Kagera tulikalishwa sana mitaani na kurushwa vichura
huyu jamaa angekua muungwana baada ya kuiona hiyo gari yao angekua mpole kwani wanajulikana, ukitaka kuvuliwa nguo na wababe chutama, kuna kitu kajifunza tunasubiri mrejesho
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Mi tiss mengi ni makubwa jinga hayana faIda kwenye taifa zimekuwa nafasi za vimemo kwa muda mrefu, hayada maadili kazi yao kusema utanijua mi ni nani, Kama hili fala linaonyesha umwamba barabarani jinga la kufukuza kabisa kazi, hii taasisi bure kabisa kazi wanazofanya za kishambaa, hakuna resources kabisa, kichefuchefu
 
That was long before 2015.

Baada ya 2015, kupitia katiba ileile, tuliona mabadiliko makubwa sana ya kiutendaji yakatuletea maendeleo ndani ya muda mfupi.

Wananchi wa kawaida, ambao ni wengi, tunahitaji maendeleo and Magufuli proved tunaweza kuyapata kwa Katiba hii tuliyonayo.

Nyie wanasiasa mnajua kabisa kwa katiba hii hamtoboi ndio maana mnaililia nyingine.

But trust me, Katiba hiihii ina uwezo mkubwa sana wa kusimamia na kutuletea maendeleo.

Kwahiyo Katiba Mpya ni hitaji lenu wanasiasa. Muacheni mama avenge nchi, tunataka maendeleo.

Tofautisha wananchi na kundi linaloumua uzuzu
 
Kweli kiswahili kigumu, ulishasema Mgambo Mimi nikuambie kuwa kuwa Mgambo ni Mwanajeshi tena?

Kwa taarifa yako kwa vile ujui kama ujui leo sasa nakufahamisha kuwa Kuna wanajeshi, Kuna polisi, Kuna TISS, Kuna magereza, zimamoto, uhamiaji, wanyama pori na wengine.

Hacha kubabaishwa na maneno ya kisiasa hayo., Wote hao wakisimama pamoja akatokea mtu akasema wanajeshi wasimame kulia, hakuna polisi wala TISS atakaechomoa pua yake kwenda kulia. Wewe kama polisi utabaki kuwa polisi tu.
wewe ndio hujui kabisa, mgambo na wengine uliowataja ni wanajeshi na wapo chini ya Mabeyo,
labda hao Al Shabab na walinzi binafsi wa vyama vya siasa ndio likitokea Tangazo la Vita hawatachukuliwa.
umeshaambiwa hao jamaa usikaribiane nao wala kubishana watakuchakaza kwa push up kumwagiwa maji na mateke
hivyo vita vya Ukraine hamvioni jamani wanaume wote ni lazima wapewe majukumu ya kijeshi na wanaingia vitani,
Vita ikitokea Raia wote watanzania waliopitia mafunzo wanatakiwa wavae kombat, wanaume wote wasiopitia wanajiunga na wanawake na watoto mnakimbilia Nchi jirani mkajifiche ukimbizi
 
inaonesha mambo yalishaisha na simu imerudishwa ndio maana tumeiona clip hewani ikisambaa kila kona
ni Nchi kibao hivi vitendo tunaona manyanyaso ya hawa watu, DRC Uganda, Kenya, bado Ukraine.
Baada ya Vita vya Kagera tulikalishwa sana mitaani na kurushwa vichura
huyu jamaa angekua muungwana baada ya kuiona hiyo gari yao angekua mpole kwani wanajulikana, ukitaka kuvuliwa nguo na wababe chutama, kuna kitu kajifunza tunasubiri mrejesho

Kwamba katoka? Bila uthibitisho wowote, itakuwa ni sawa na kuamini Ndugai yuko Kongwa busy akichunga ng'ombe wake.

Kumbuka aliyekuwapo mtu wa pili ku record yumkini tuliyoyaona.
 
Kwamba katoka? Bila uthibitisho wowote, itakuwa ni sawa na kuamini Ndugai yuko Kongwa busy akichunga ng'ombe wake.
Kumbuka aliyekuwa mtu wa pili alikuwapo ku record yumkini tuliyoyaona.
Fuatilia vizuri huyu dogo aliyetaka Mjomba wake Mbunge atamtetea ndiye aliyerecord
Mtu wa pili anasikika akimuomba apatane nao hao (ni TISS na yule mgomvi ni dereva tu ila km ni kikazi wanapita popote) katumia uungwana sana kumuomba rafiki yake wayamalize lkn yeye anazamisha simu mfukoni.
Ninasema hivi kwa sababu nimekutana nayo mtandao mwingine wanaijadili, na wanasema simu kapewa sasa anaanzisha zogo lingine
 
Kweli kiswahili kigumu, ulishasema Mgambo Mimi nikuambie kuwa kuwa Mgambo ni Mwanajeshi tena?

Kwa taarifa yako kwa vile ujui kama ujui leo sasa nakufahamisha kuwa Kuna wanajeshi, Kuna polisi, Kuna TISS, Kuna magereza, zimamoto, uhamiaji, wanyama pori na wengine.

Hacha kubabaishwa na maneno ya kisiasa hayo., Wote hao wakisimama pamoja akatokea mtu akasema wanajeshi wasimame kulia, hakuna polisi wala TISS atakaechomoa pua yake kwenda kulia. Wewe kama polisi utabaki kuwa polisi tu.

Kichekesho labda.

Ndiyo maana "ujui" ni msamiati rasmi kwako.

Ulibahatika kufika hata shule ya kata kweli mjomba?

Kwamba hata majeshi ya polisi, magereza, zimamoto, na binamu zao ndiyo unasikia leo?

Maajabu ya Mussa.
 
Back
Top Bottom