Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Sawa mkuu. Je ni sahihi kutompa chochote mke ikiwa mnatengana??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wife ni kama msela, sio damu moja anytime tuna mwagana.. ila familia haiwezi kukumwaga hata ukiwa chizi.. ila mke ataolewa.. fungwa miaka 20.. kama utamkuta mke wako single.. ila famili yako utaikuta na upendo ule ule.. ishini nao kwa akili..
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Miaka 500? Wee miaka 59 ijayo tuu watu tutakuwa tunagegedana hadhari kama mbwa tuu. Ndoa itakuwa zilipendwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…