Wanaume wengi siku hizi tumejanjaruka, nikikutongoza leo, kesho ukaniomba hela, ni mbio, hakuna kutuma hela wala kubembeleza

Wanaume wengi siku hizi tumejanjaruka, nikikutongoza leo, kesho ukaniomba hela, ni mbio, hakuna kutuma hela wala kubembeleza

Ila mkuu Tz tunazitetemekea sana mbususu ,ndio maana zinapanda bei na kuuzwa , nina ushahidi kuna nchi kuna pisi za moto ila zimekosa mtu wakuzichakata unakutana nazo zinafanya shopping [emoji877] ya kununua dildo mpaka unashangaa.
Eeh hapa bongo malaya mnawapandisha chati. Mi silipiii mbunye ila constant supply iko anytime nikitaka navuta tu ziko kwenye bay!
 
Nimesikia wageni wakilalamika sio wazungu sio waafrica kutoka sehemu nyingine kwamba dada zetu wanaomba sana hela[emoji23]kuna wengine wanatoka majuu kuja bongo kutafuta wake ila mnawakatisha tamaa,,,mtu mmeanza tu kuongea unaingiza habari za bibi kameza mkufu upewe hela sio sawa,,
 
Hapa sizungumzii kahaba, Malaya anajulikana ananuuliwa
Nazungumzia mwanamke tu wakawaida
Kama umetongozwa leo na umeanza kuomba pesa kuna tofauti gani na mwanamke anayejiuza?
Ukikutana naye asubuhi, anakuambia njaa. 😀😀😀😀 Ushakuwa baba yake mzazi halafu ukipiga dk 3 umemaliza anaanza kulalamika humfikishi kileleni😀😀😀
 
Asante sana ndugu mwandishi nakupata vyema nikiwa Lusaka Zambia Mimi naona hapo malalamiko hayasaidii na hayana nafasi kazi ni moja tu fuata chuma
Nikiwa hapa Namibia kuchakqta ni makubaliano hakuna blabla, halafu wana vishundu hatari
 
Kama umetongozwa leo na umeanza kuomba pesa kuna tofauti gani na mwanamke anayejiuza?
Ukikutana naye asubuhi, anakuambia njaa. 😀😀😀😀 Ushakuwa baba yake mzazi halafu ukipiga dk 3 umemaliza anaanza kulalamika humfikishi kileleni😀😀😀
Huyo ni Malaya mwanamke timamu hana sifa hizo
 
Back
Top Bottom