Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

sioni haja ya wewe taikoni kumjibu mwanamke mpumbavu[emoji847]

Namjibu nikiona kuna haja ya kufanya hivyo. Na sio Kwa ajili yake au kumbadilisha Bali Kwa ajili ya wengine ambao hawajaharibikiwa.
Ukiona Taikon anatumia muda wake Kwa ajili ya Mtu Mpumbavu jua kabisa sio Kwa ajili ya huyo Mpumbavu.

Kwani najua Mpumbavu hakuna mwenye uwezo wa kumbadilisha akili yake. Hata maandiko yanaeleza.

Soma hii Kwa uchache,

Mithali 27:22
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.

Mithali 29:9
Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.

Mithali 29:11
Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Mithali 21:9
Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.

Mithali 9:13
Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu.

Mithali 14:1
Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.

Hivyo wala asikusumbue, Kelele zake ndio nguvu ya upumbavu wake, atatukana na kutoa matusi lakini hakuna anachokijua.

Bishana naye kama unajisikia raha kusikia kelee zake na matusi yakeπŸ˜‚πŸ˜‚
 

Hakuna mwanaume anayekataa kutoa malezi ya Mtoto wake wa kuzaa. Huyo mwanaume hayupo.

Changamoto ni kuwa wanawake wengi pale wanapotengana na waliowazalisha hutaka gharama zilezile za Mwanzo ziendelee ilhali wao walishajiuzulu.
Uliona wapi mtu aliyejiuzulu au mstaafu akilipwa Sawasawa na mtu aliyekazini. Hiyo haipo.
Aliyekazini lazima apate favour nyingi kuliko aliyestaafu au kujiuzulu.

Siku zote kumhudumia mtoto au mtu aliyembali ni gharama zaidi kuliko mtoto unayekaa naye. Hiyo ipo hivyo.
Na ndio nature iko hivyo.

Ni vizuri Watu kutokuachana na kutengana au kuzaa hovyohovyo bila ya ndoa ili kuepusha mambo hizi.

Biblia inaposema Watu wasitengane kienyeji au wasifanye uzinzi ilijua madhara ya mambo hayo. Lakini watu Kwa ukaidi wao wanapuuza, sasa matokeo yake ndio haya.
Na hakuna wakumlilia, lazima ukifanya kosa lazima uwajibe/upate madhara Kama sio wewe basi watoto wako au kizazi chako.

Unakuta Mwanamke analalama ooh! Mbona watoto wengine unawatunza vizuri lakini wangu humtunzi. Jibu hapo ni kuwa huyo wako yupo mbali hivyo ni ngumu kupata baraka za karibu. Mtoto wa Mbali hupata baraka za mbali.

Ni Kama vile miti iliyokaribu na MTO wa maji ndio inayostawi zaidi kuliko iliyombali na MTO wa maji.

Sasa sijui Binadamu wengine hawana Akili wanakuwa Kama Wanyama wa porini, tena Bora Wanyama wao wanauelewa.

Aliyekaribu ndiye apataye joto kuliko aliyembali.

Hiyo ni nature.

Ukitaka Mtoto wako alelewe na apewe matunzo 100% na Baba yake basi mpelekee Baba yake.

Hizo sheria hazitasaidia lolote zaidi Sana zitaongeza matatizo zaidi.

Kama mtu Hana akili yake mwenyewe basi aangalie basi hata Kwa Nature ilivyo.
 
Sometimes ni better kunyamaza not to expose the level of ur stupidity dear na hayo sio mapovu huo ni mtazamo wangu wewe ulitakiwa kuleta wako. Balehe uzeeni zinasumbua sana mtu unakua kama una makamasi kwenye ubongo smh
ata mimi ni mtizamo wangu ila ukwel unabaki kuwa kwako
 
Mbona Sisi tumelelewa Na mama zetu bila Wazee kusumbuliwa.
Uking'ang'ania mtoto basi itakupasa kugangamala.
Mkuu hapo unamaanisha hujapitia malezi ya pande mbili yaan Baba na Mama?

Umelelewa na Mama tu
 
[emoji16][emoji16][emoji16] sema mkuu tunaishi kipndi kuna wanawake wapumbavu wengi .
 
(unyenyekevu na utiii) unauhakika ivyo vitu we uko navyo? Yaan unataka unyenyekewe ndio ulee mwanao unajikuta nani? ( Mwanaume) ili neno sio lahis kihasi icho embu sikia uyo mwanamke unaemzungumzia Apo sio mke au mama wa watoto wako bali Ni mtumwa kwa bosi wake binafs siwez kunyenyekea mtu au kuvumilia upumbavu kisa kubembeleza mtu kulea mwanae

Mwanaume niyule anaetambua Nini anatakiwa kufanya mwanaume wakwel hawez kutesa damu yake kisa mwanamke pia mwanaume wa kwel hakimbilii michepuko ili kupata furaha aliyeikosa kwa mkew

Mwanaume niyule anaesimama Kama baba na mme pia kichwa Cha familia ukiwa baba
Acheni kudhan pesa ndio kila kitu kwenye malez
Unaitaj kunyenyekewa ikiwa ww ata mungu wako anaekupa pumz,afya ,na izo Mali bule bila malipo huwz kumnyenyekea na kumtii? Em naww unajiita mwanaume shwain ww wanaume wote wenyeakili timamu wapo na familia zao na wamesimama Kama kichwa na nguzo ya familia iyo

Towen ushamba na ujuwaj wa ijinga et ninyenyekee na unitii ili niwaudumie ukiwa Kama nan? Mungu au tengeneza upendo na mipaka ya ww na familia yako vizur kila mtu atakutii usitake utiifu wa lazm

Af unakuta povu lote ni niwale wavunala tuu wasiojua nn maana ya familia kuwa mwanaume af uone Kama vyote ivyo huta vipata et mwanaume unamjua mwanaume ww ungemjua ungelekebisha uyo kaul yako ya kusujudiwa
 
Af umejiunga jf juzi najuta hata kukujibu looks like hujui hata kilichomo umejaa mihemko na ushamba unanuka maziwa komaa kidogo ndo urudi humu fool
kujiunga juzi[emoji1787][emoji1787]
 
Mwanamke anataka akiwa bechi aendelee kula bata kama yuko kambini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanawake bwana kwakuwa jamii imeamua kuwasikiliza na kuwatetea basi kila kitu kwao wanaona sawa tu unamlea mtoto mpaka anafika mkubwa unaambiwa sio mwanao na ushatumia gharama kumuhudumia halafu jina la cheti cha kuzaliwa kaandikwa mwengine.
Walah ntamuua huyo mwanamke
 
Mleta mada wewe jinsia gani ? Kutwa kuleta habari za wanawake wakati jina lako ni la mtoto wa kiume

Ndugu wa mleta mada hebu kaeni naye

Muongee naye kuna shida au ana Genes za kike au shoga labda?
Pole dada, mbadilike Sasa nanyinyi
 
Hakuna mwanaume anayekataa kutoa malezi ya Mtoto wake wa kuzaa. Huyo mwanaume hayupo.
Kha! Wewe kiumbe wa ajabu sana na sidhani kama unaishai kwenye dunia hii yetu.

Labda huko kwenye sayari ya Mars ndiyo wanaume hawakatai kutoa fedha za malezi.
 
Umepiga mulemule, mwanaume hana jeuri kwa mwanamke anayemtii na kumnyenyekea......kwa hiyo hata watoto wake watafaidi matunda ya utii na unyenyekevu wa mama yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…