Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

NA WENGI WANASOMESHA WATOTO WAO KWA MSAADA WA WAUME ZA WENGINE.
KWAO KUDANGA NI UJASILIAMALI PIA
 
Mimi nashikilia hapo kwenye ujeuri wanawake wengi aisee ni wajeuri sanaa ninawaona wengine ninawashuhudia yani kwanza anavyoongea na baba mtoto ni full matusi hapo anataka kuomba ada anasema ngoja nimpigie huyo mbwa hajui ni muda wa ada? Mtoto akimuudhi atamtukana matusi yote anamwambia ww ni mbwa kama baba yako, mbona kuna wengine wanaishi vzr na malezi yanaenda ila siungi mkono kwenye matusi hasa kumtukana mzazi mwenzio tena unamtukana na mtoto matusi makali as if alikuwepo wakati unaenda geto kwa huyo baba ake. Mkiachana achaneni kwa amani mtunze watoto wenu kwa heshima na baba hakikisha kama ulihaidi kulipq ada lipa kwa wakati kuna kukosa sometyms shirikishaneni muone mta solve vipi. Ila wamama kwa midomo hatujambo.
😂 😂 kumuita mtoto au baba yake mbwa ni tusi kwake yeye.
INAMAANISHA YEYE ALIFANYA UNYUMBA NA MBWA MPAKA AKABEBA MIMBA
SASA SIJUI NI NANAI ALIMUANZA MWENZIE!
 
Hakuna Alie mkamilifu kwenye swala la malezi ya watoto hasa kwa wazazi wasioishi pamoja. Kuna wamama wapo harsh kwa wanaume walio zaa nao na pia Kuna wababa hawatimizi majukumu Yao kabisaaa na Wala hawajali Hilo.

Ni vile tu maisha lazima yaendelee wakati mwingine mmoja anaamua kujishusha maana bila hivo Dunia ingewaka moto.

My take Kila mtu atimize majukumu yake wamama wawe na adabu na waache hasira na wakina baba waache kusababisha hasira kwa wakina mama
 
Mleta mada wewe jinsia gani ? Kutwa kuleta habari za wanawake wakati jina lako ni la mtoto wa kiume

Ndugu wa mleta mada hebu kaeni naye

Muongee naye kuna shida au ana Genes za kike au shoga labda?
Anataka cheap popularity kwa kuandika mada za kijinga kuhusu wanawake.

Kulikua na haja gani ya kuanzisha uzi huu asubuhi yote,wakati kuna ule mwingine unaozungumzia jambo hili na kaandika mapumba yake huko?

Gratification seeing a woman being punished , ndicho kilichomsukuma kuandika huu upuuzi.

Kuna hitilafu somewhere kwenye makuzi ya huyu kijana tumsamehe bure.
 
Hawezi kufanya hivyo na walio wengi huwang'ang'ania watoto kama kitegauchumi! Pesa ya matunzo unayotoa ndio pesa yake ya kukombolea nguo, kuendea saloon, na kununulia vipodozi huku mtoto akipewa ya pipi tu!
 
Eti mi

Usiite mtoto wake peke yake ni mtoto wenu wote na kila mmoja anawajibika katika malezi, yani garama ya wewe kulea damu yako ni kunyenyekewa na kuabudiwa kwa sababu ni mungu wa duniani yani ili utoe ela ya kusoma na kula ya mwanao basi nikuombe na kukubembeleza na kukulamba aloo nachemka damu sana kuna wanawake wanaonewa humu duniani natamani niwakusanye wooote niwatie akili njema wanaume wenye mentality ya kuabudiwa mara nyingi sana wanakua walitokea kwenye malezi duni, kuonewa na pengine kuwa abused kwa namna moja au nyingine so akipata misuli in terms of cash, education au status anakua anacompasate yale alopitia wakati yupo weak hii ni mostly sijasema wote wengine ni tabia kutokana na makuzi nk nk jamani naomba nisijibu tena maana nimepata kiwewe mnooo like waaaaaaat ulambwe miguu kuhudumia bao ulilotoa kwa kelele na madaha kama umechomwa kisu cha mgongoni no no way yani some of us tungeenda extra mile kuhakikisha tunakuja kukuajiri uwe chini yetu ingeshindikana mwana ngekufa njaa. Kwanza nikugugo
Kama hayo huwezi,peleka mtoto kwa baba yake akalelewe,kama unaona bora ukae na mtoto basi mambo ni mawili tu,uwe na heshima kwa baba mtoto wako au ulee mtoto wako bila kusumbua baba wa mwanao
 
Kama hayo huwezi,peleka mtoto kwa baba yake akalelewe,kama unaona bora ukae na mtoto basi mambo ni mawili tu,uwe na heshima kwa baba mtoto wako au ulee mtoto wako bila kusumbua baba wa mwanao
We nae hujaona nimesema had it been me mtoto angekufa njaa silambi mtu au unakurupuka kukoment bila kuelewa
 
Anataka cheap popularity kwa kuandika mada za kijinga kuhusu wanawake.

Kulikua na haja gani ya kuanzisha uzi huu asubuhi yote,wakati kuna ule mwingine unaozungumzia jambo hili na kaandika mapumba yake huko?

Gratification seeing a woman being punished , ndicho kilichomsukuma kuandika huu upuuzi.

Kuna hitilafu somewhere kwenye makuzi ya huyu kijana tumsamehe bure.
Hii aya ya mwisho hata mimi nimesema, wether alilelewa maisha duni sana kupita anayoishi sasa, au child abuse, kuonewa, kutengwa kudharaulika etc sasa anafanya compasation kwa njia hii ni kawaida kabisa kwa watu wa hivo
 
Wanazingua aiseeh Yani nibiashara na biashara hii Ina dhaminiwa na ustawi wajamii ambao so waadilifu kwenye kazi Yao watu wanateseka mkuu
 
Umesahau na hili, naongezea kwa ukali kama ulivyoandika " MWANAUME PIA HATOSHEKI NA MWANAMKE MMOJA, NA WANAWAKE WAMEUMBWA KUBURUDISHA WANAUME BAADA YA KAZI NGUMU ZA KUJENGA NA KULINDA MATAIFA"
 
Wanapaswa kutambua wanaume ndio wanajenga maghorofa, wanaume ndio wanajenga barabara, wanaume ndio majambazi wa kutumia silaha, wanaume ndio mabaharia deep sea, wanaume ndio wanaendesha mindege, wanaume ndio wanaendesha malori, wanaume ndio wanajenga reli, wanaume ndio wanahamisha bahari kujenga madaraja, wanaume ndio wanalima maelfu ya mahekari watu wakala, wanaume ndio wavuvi nk.
 
Taikon taikon mwanangu sana...!! M nakusikiliza wewe tu


Tutaendelea kufukiza Moshi mpaka mbu wote watoke

Hii ni kwaajili ya kizazi cha wanaume wachache waliosalia.
Tunafahamu lipo kundi la wanaume wenzetu halisi ambao wameamua kujiingiza katika biashara ili wapate hela kupitia agenda za New world order. Hao hatuna shida nao.
 
Back
Top Bottom