Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Red flags ziko nyingi ila kuna hii: Mwanamke aliye active kupost post kwenye mitandao ya kijamii kama IG, Snapchat, TikTok n.k
Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume.
Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single hiyo inapelekea wengi kucheat.
Kwa sababu ya ushindani wa show off za kwenye social media mwanamke anapozidiwa na wenzake mara nyingi hujikuta ana stress na kuwa bored.
Mzee mwanamke akiwa bored lazima atatafuta a new dick to ride na ikitokea mwanaume aka-like au aka-reply kumsifia basi moyo wake utasuuzika kapata attention ya mwanaume na safari ya kusalitiwa inaweza kuanzia hapo.
Mwanamke aliye active kwenye social media anatafuta na kuzithamini likes, replies na followers kuliko upendo na muda kwa mwanaume wake.
Yuko tayari apost picha na video za mitego ili mradi tu apate likes na replies hasa za wanaume. Mwanamke kama huyo ni ngumu sana kufocus kwenye mahusiano yenu.
Njia moja ya kumtambua mwanamke aliye a low value ambaye sio wa kufanya naye maisha ni yule ambaye anapenda ku-expose mwili wake kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa kifupi ni kwamba avoid women who are addicted to social media
Your attention will never be enough for them
Learn or Perish
Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume.
Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single hiyo inapelekea wengi kucheat.
Kwa sababu ya ushindani wa show off za kwenye social media mwanamke anapozidiwa na wenzake mara nyingi hujikuta ana stress na kuwa bored.
Mzee mwanamke akiwa bored lazima atatafuta a new dick to ride na ikitokea mwanaume aka-like au aka-reply kumsifia basi moyo wake utasuuzika kapata attention ya mwanaume na safari ya kusalitiwa inaweza kuanzia hapo.
Mwanamke aliye active kwenye social media anatafuta na kuzithamini likes, replies na followers kuliko upendo na muda kwa mwanaume wake.
Yuko tayari apost picha na video za mitego ili mradi tu apate likes na replies hasa za wanaume. Mwanamke kama huyo ni ngumu sana kufocus kwenye mahusiano yenu.
Njia moja ya kumtambua mwanamke aliye a low value ambaye sio wa kufanya naye maisha ni yule ambaye anapenda ku-expose mwili wake kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa kifupi ni kwamba avoid women who are addicted to social media
Your attention will never be enough for them
Learn or Perish