Wanawake wengi walio active kwenye mitandao ya kijamii sio wa kufanya nao maisha. Hiyo ni red flag tosha kaa kitaalamu kidume usipuuzie hilo

Wanawake wengi walio active kwenye mitandao ya kijamii sio wa kufanya nao maisha. Hiyo ni red flag tosha kaa kitaalamu kidume usipuuzie hilo

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Red flags ziko nyingi ila kuna hii: Mwanamke aliye active kupost post kwenye mitandao ya kijamii kama IG, Snapchat, TikTok n.k

Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume.

Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single hiyo inapelekea wengi kucheat.

Kwa sababu ya ushindani wa show off za kwenye social media mwanamke anapozidiwa na wenzake mara nyingi hujikuta ana stress na kuwa bored.

Mzee mwanamke akiwa bored lazima atatafuta a new dick to ride na ikitokea mwanaume aka-like au aka-reply kumsifia basi moyo wake utasuuzika kapata attention ya mwanaume na safari ya kusalitiwa inaweza kuanzia hapo.

Mwanamke aliye active kwenye social media anatafuta na kuzithamini likes, replies na followers kuliko upendo na muda kwa mwanaume wake.

Yuko tayari apost picha na video za mitego ili mradi tu apate likes na replies hasa za wanaume. Mwanamke kama huyo ni ngumu sana kufocus kwenye mahusiano yenu.

Njia moja ya kumtambua mwanamke aliye a low value ambaye sio wa kufanya naye maisha ni yule ambaye anapenda ku-expose mwili wake kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa kifupi ni kwamba avoid women who are addicted to social media

Your attention will never be enough for them

Learn or Perish
 
Red flags ziko nyingi ila kuna hii: Mwanamke aliye active kupost post kwenye mitandao ya kijamii kama IG, Snapchat, TikTok n.k

Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume

Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single hiyo inapelekea wengi kucheat

Kwa sababu ya ushindani wa show off mwanamke anapozidiwa na wenzake mara nyingi hujikuta ana mikazo na kuwa bored. Mzee mwanamke akiwa bored lazima atatafuta a new dick to ride na ikitokes mwanajme akalike akareply kumsifia basi moyo wake utasuuzika kapata attention ya mwanaume

Mwanamke aliye active kwenye social media anatafuta na kuzithamini likes na followers kuliko upendo na muda kwa mwanaume wake.

Yuko tayari apost picha na video za mitego ili mradi tu apate likes na replies hasa za wanaume. Mwanamke kama huyo ni ngumu sana kufocus kwenye mahusiano yenu.

Njia moja ya kumtambua mwanamke ambaye ni low value ambaye sio wa kufanya naye maisha ni yule ambaye anapenda ku-expose mwili wake kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa kifupi ni kwamba avoid women who are addicted to social media

Your attention will never be enough for them

Learn or Perish
Gentleman,
mbona unaeleza ukweli, tena ulio jirani mno na uhakika na hali halisi ya wakati uliopo?

dah! aise 🐒
 
Ni kweli kabisa

Raha ya mwanamke simu aiweke mezani aendelee na shughuli za nyumban aikumbuke baada ya launch awapigie wazazi aitupe hadi kesho


Sio mwanamke anajua simba na yanga hadi anaboa

Raha mtoto wa kike Ni kukosa baadhi ya information za trending
Awa was kwetu hadi wanaomba connect za baltazar
 
Ni kweli kabisa

Raha ya mwanamke simu aiweke mezani aendelee na shughuli za nyumban aikumbuke baada ya launch awapigie wazazi aitupe hadi kesho


Sio mwanamke anajua simba na yanga hadi anaboa

Raha mtoto wa kike Ni kukosa baadhi ya information za trending
Awa was kwetu hadi wanaomba connect za baltazar
Natumaini ulimaanisha lunch mkuu,

Ahsante..!!
 
Kuna kaukweli,
Mwanamke akiamka ni kubadilisha tu mara X, jf, tiktok, fb, wasap.....hao watoto anawahudumia mda gani, hata kama msaidizi yupo, yule ni anaitwa "msaidizi" na maana yake inaeleweka.

Upate mwanamke mwenye kiasi kwenye hizi social networks, ajue kubalance, sisi hatukatai wasijue nini kinajiri, wasiingie, wasijifunze...ila wajue kubalance!
 
Ni kweli kabisa

Raha ya mwanamke simu aiweke mezani aendelee na shughuli za nyumban aikumbuke baada ya launch awapigie wazazi aitupe hadi kesho


Sio mwanamke anajua simba na yanga hadi anaboa

Raha mtoto wa kike Ni kukosa baadhi ya information za trending
Awa was kwetu hadi wanaomba connect za baltazar
Eeeh aitupe tena😂😂
 
Back
Top Bottom