Wanawake wengi walio active kwenye mitandao ya kijamii sio wa kufanya nao maisha. Hiyo ni red flag tosha kaa kitaalamu kidume usipuuzie hilo

Wanawake wengi walio active kwenye mitandao ya kijamii sio wa kufanya nao maisha. Hiyo ni red flag tosha kaa kitaalamu kidume usipuuzie hilo

Red flags ziko nyingi ila kuna hii: Mwanamke aliye active kupost post kwenye mitandao ya kijamii kama IG, Snapchat, TikTok n.k

Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume.

Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single hiyo inapelekea wengi kucheat.

Kwa sababu ya ushindani wa show off za kwenye social media mwanamke anapozidiwa na wenzake mara nyingi hujikuta ana stress na kuwa bored.

Mzee mwanamke akiwa bored lazima atatafuta a new dick to ride na ikitokea mwanaume aka-like au aka-reply kumsifia basi moyo wake utasuuzika kapata attention ya mwanaume na safari ya kusalitiwa inaweza kuanzia hapo.

Mwanamke aliye active kwenye social media anatafuta na kuzithamini likes, replies na followers kuliko upendo na muda kwa mwanaume wake.

Yuko tayari apost picha na video za mitego ili mradi tu apate likes na replies hasa za wanaume. Mwanamke kama huyo ni ngumu sana kufocus kwenye mahusiano yenu.

Njia moja ya kumtambua mwanamke aliye a low value ambaye sio wa kufanya naye maisha ni yule ambaye anapenda ku-expose mwili wake kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa kifupi ni kwamba avoid women who are addicted to social media

Your attention will never be enough for them

Learn or Perish
Mimi mke wangu nitamruhusu atumie jf pekee, tena nitamguide na nyuzi za kupitia especially za Natafuta Ajira
 
Red flags ziko nyingi ila kuna hii: Mwanamke aliye active kupost post kwenye mitandao ya kijamii kama IG, Snapchat, TikTok n.k

Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume.

Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single hiyo inapelekea wengi kucheat.

Kwa sababu ya ushindani wa show off za kwenye social media mwanamke anapozidiwa na wenzake mara nyingi hujikuta ana stress na kuwa bored.

Mzee mwanamke akiwa bored lazima atatafuta a new dick to ride na ikitokea mwanaume aka-like au aka-reply kumsifia basi moyo wake utasuuzika kapata attention ya mwanaume na safari ya kusalitiwa inaweza kuanzia hapo.

Mwanamke aliye active kwenye social media anatafuta na kuzithamini likes, replies na followers kuliko upendo na muda kwa mwanaume wake.

Yuko tayari apost picha na video za mitego ili mradi tu apate likes na replies hasa za wanaume. Mwanamke kama huyo ni ngumu sana kufocus kwenye mahusiano yenu.

Njia moja ya kumtambua mwanamke aliye a low value ambaye sio wa kufanya naye maisha ni yule ambaye anapenda ku-expose mwili wake kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa kifupi ni kwamba avoid women who are addicted to social media

Your attention will never be enough for them

Learn or Perish
Mbona hizi ni tabia za karibia ya kila mwanamke wa Kitanzania?
 
Red flags ziko nyingi ila kuna hii: Mwanamke aliye active kupost post kwenye mitandao ya kijamii kama IG, Snapchat, TikTok n.k

Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume.

Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single hiyo inapelekea wengi kucheat.

Kwa sababu ya ushindani wa show off za kwenye social media mwanamke anapozidiwa na wenzake mara nyingi hujikuta ana stress na kuwa bored.

Mzee mwanamke akiwa bored lazima atatafuta a new dick to ride na ikitokea mwanaume aka-like au aka-reply kumsifia basi moyo wake utasuuzika kapata attention ya mwanaume na safari ya kusalitiwa inaweza kuanzia hapo.

Mwanamke aliye active kwenye social media anatafuta na kuzithamini likes, replies na followers kuliko upendo na muda kwa mwanaume wake.

Yuko tayari apost picha na video za mitego ili mradi tu apate likes na replies hasa za wanaume. Mwanamke kama huyo ni ngumu sana kufocus kwenye mahusiano yenu.

Njia moja ya kumtambua mwanamke aliye a low value ambaye sio wa kufanya naye maisha ni yule ambaye anapenda ku-expose mwili wake kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa kifupi ni kwamba avoid women who are addicted to social media

Your attention will never be enough for them

Learn or Perish
Nyie ndio vijana aliowasema Magu, vijana wa hovyo🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️ Tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia na hiki ndicho pekee umekiona mtandaoni? Mpaka unajua nini kinaendelea kwenye DM's zao tells alot kuhusu tabia yako naa akili yako in general. Asilimia ndogo ya wanawake/wanaume wanaokwaza sehemu yoyote ile haifanyi & haiondoi haki na matumizi mazuri kwa wengine.

Ndio nyinyi mnapiga kelele huko X ifungiwe, Tiktok ifungiwe sababu kuna watu wachache wanakwaza🤦‍♂️🤦‍♂️

Kuwa the change unayotaka kuiona na kusonga mbele badala ya kudidimiza hata wale wanaofanya vizuri.

Halafu tunalalamika kila siku wenzetu wanasogea mbele na sisi tunarudi nyuma, kwa hizi mindset? Kazi ipo🤦‍♂️🤦‍♂️
 
Kumbe mitandao sio kwa ajili yao?

Kama ni muuzaji ni muuzaji tu hata asipojiexpose mitandaoni, kwa dunia yasasa na tunakoelekea matumizi ya mitandao hayakwepeki na uhitaji unaongezeka kila leo labda ukaishi na wahadzabe huko porini ila kimjini mjini ni uongo. Kwahiyo kwenye hilo tuishi nao kwa akili tu.
 
Red flags ziko nyingi ila kuna hii: Mwanamke aliye active kupost post kwenye mitandao ya kijamii kama IG, Snapchat, TikTok n.k

Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume.

Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single hiyo inapelekea wengi kucheat.

Kwa sababu ya ushindani wa show off za kwenye social media mwanamke anapozidiwa na wenzake mara nyingi hujikuta ana stress na kuwa bored.

Mzee mwanamke akiwa bored lazima atatafuta a new dick to ride na ikitokea mwanaume aka-like au aka-reply kumsifia basi moyo wake utasuuzika kapata attention ya mwanaume na safari ya kusalitiwa inaweza kuanzia hapo.

Mwanamke aliye active kwenye social media anatafuta na kuzithamini likes, replies na followers kuliko upendo na muda kwa mwanaume wake.

Yuko tayari apost picha na video za mitego ili mradi tu apate likes na replies hasa za wanaume. Mwanamke kama huyo ni ngumu sana kufocus kwenye mahusiano yenu.

Njia moja ya kumtambua mwanamke aliye a low value ambaye sio wa kufanya naye maisha ni yule ambaye anapenda ku-expose mwili wake kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa kifupi ni kwamba avoid women who are addicted to social media

Your attention will never be enough for them

Learn or Perish
 
Asante...
Kumbe mitandao sio kwa ajili yao?

Kama ni muuzaji ni muuzaji tu hata asipojiexpose mitandaoni, kwa dunia yasasa na tunakoelekea matumizi ya mitandao hayakwepeki na uhitaji unaongezeka kila leo labda ukaishi na wahadzabe huko porini ila kimjini mjini ni uongo. Kwahiyo kwenye hilo tuishi nao kwa akili tu.
 
Wengi wanajiuza ila wanafanya siri wanazuga kwenye kufanya biashara kuna mmoja alinambia anataka nimpe kama laki moja hivi ili anipe mzigo pisi kali ina mzigo wa kwenda nikajua kweli wale ma slay queen ni pesa yako tu.
 
Kumbe mitandao sio kwa ajili yao?

Kama ni muuzaji ni muuzaji tu hata asipojiexpose mitandaoni, kwa dunia yasasa na tunakoelekea matumizi ya mitandao hayakwepeki na uhitaji unaongezeka kila leo labda ukaishi na wahadzabe huko porini ila kimjini mjini ni uongo. Kwahiyo kwenye hilo tuishi nao kwa akili tu.
Imagine! Yaani sababu kuna wachache wanatumia vibaya basi population yuko inajumuishwa, halafu tunataka tupate wavumbuzi wa teknolojia mbalimbali nchini. Ubaguzi wa kijinsia unatumaliza TZ
 
Back
Top Bottom