Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Inawezekana ni sahihi lakini sio kwa namna iliyobainishwa bandikoni.Imagine! Yaani sababu kuna wachache wanatumia vibaya basi population yuko inajumuishwa, halafu tunataka tupate wavumbuzi wa teknolojia mbalimbali nchini. Ubaguzi wa kijinsia unatumaliza TZ