Wanawake wengi walio active kwenye mitandao ya kijamii sio wa kufanya nao maisha. Hiyo ni red flag tosha kaa kitaalamu kidume usipuuzie hilo

Mimi mke wangu nitamruhusu atumie jf pekee, tena nitamguide na nyuzi za kupitia especially za Natafuta Ajira
 
Mbona hizi ni tabia za karibia ya kila mwanamke wa Kitanzania?
 
Nyie ndio vijana aliowasema Magu, vijana wa hovyoπŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈ Tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia na hiki ndicho pekee umekiona mtandaoni? Mpaka unajua nini kinaendelea kwenye DM's zao tells alot kuhusu tabia yako naa akili yako in general. Asilimia ndogo ya wanawake/wanaume wanaokwaza sehemu yoyote ile haifanyi & haiondoi haki na matumizi mazuri kwa wengine.

Ndio nyinyi mnapiga kelele huko X ifungiwe, Tiktok ifungiwe sababu kuna watu wachache wanakwazaπŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈ

Kuwa the change unayotaka kuiona na kusonga mbele badala ya kudidimiza hata wale wanaofanya vizuri.

Halafu tunalalamika kila siku wenzetu wanasogea mbele na sisi tunarudi nyuma, kwa hizi mindset? Kazi ipoπŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈ
 
Kumbe mitandao sio kwa ajili yao?

Kama ni muuzaji ni muuzaji tu hata asipojiexpose mitandaoni, kwa dunia yasasa na tunakoelekea matumizi ya mitandao hayakwepeki na uhitaji unaongezeka kila leo labda ukaishi na wahadzabe huko porini ila kimjini mjini ni uongo. Kwahiyo kwenye hilo tuishi nao kwa akili tu.
 
✊
 
Asante...
 
Wengi wanajiuza ila wanafanya siri wanazuga kwenye kufanya biashara kuna mmoja alinambia anataka nimpe kama laki moja hivi ili anipe mzigo pisi kali ina mzigo wa kwenda nikajua kweli wale ma slay queen ni pesa yako tu.
 
Imagine! Yaani sababu kuna wachache wanatumia vibaya basi population yuko inajumuishwa, halafu tunataka tupate wavumbuzi wa teknolojia mbalimbali nchini. Ubaguzi wa kijinsia unatumaliza TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…