Wanawake wengi walio active kwenye mitandao ya kijamii sio wa kufanya nao maisha. Hiyo ni red flag tosha kaa kitaalamu kidume usipuuzie hilo

kuwa na mwanamke mmoja ni sawa na kuwa na kiatu kilichokubana uvunguni.

Kukivaa huwezi sababu ni kidogo, kukigawa huwezi sababu unakipenda.

WTF
Mwanaume kuwa na wanawake wengi haimvunjiii heshimaa
 
 
Kabisaa mkuu
Mwanamke anatafuta attention always, Wanaume wengi wanapo M-DM ana feel kwamba amewin kuvuta attention zao, hii huwaongezea maringo..


That kind of Men wanaaotekwa kwa muonekano wa nje wa mwanamke ni weak Men, Wana lack purpose na selfcontroll ..


Binafsi hua siwapi attention wanawake wanaojipodoa ili wavute attention zetu, hua napishana nao bila kuwaangalia kabisa kama siwaoni...


Mtandaoni unamuona mtu kwa nje tu, kwahyo sanasana utatumia kigezo cha Sura, Umbo ambavyo sio vigezo vya mwanamke wa kudate naye....


Mtu ni yule wa ndani yaani Fikra, mtizamo, Itikadi, Imani, Uadilifu, Tabia, Tafuta mwanamke ambaye utakua na muda mwingi wa ku-observe haya .


NB: Kua makini na jambo lolote ambalo linavutia na kutamanisha kwa nje include Women .

: Pia huenda sio kila mwanamke Aneajiremba sana au anayejionyesha sana mtandaoni akawa anatafuta attention .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…