Watu mnashangaza sana usifikiri eti waliokuwa bora kuimba watakuwa bora kuwasemea.kuna watu ambao wapo kidogo neutral na wamepitia hi game, kina p funk, mike tee, lady jay dee, ray c, n.k.
hata kwenye soka ukiwa msemaji basi angalau uwe una interest, sasa huyu steve ana interest ipi kwenye mziki, nina uhakika hata akiambiwa ataje majina ya album mbili tu za professor jay atashindwa, kwanini ? Hana interest ..... yeye hapo anataka ageuze iwe platform ya siasa zake, nothing else.
waziri anateuliwa na raisi, si ajabu kukuta waziri wa sanaa hajawahi hata kuimba,Hili swali hata waziri husika anaweza asitaje hizo album
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo alafu hutafsiri kuja kiswahili na kufanya ionekane kama wazo lake, kwa hali hii wasikilizaji wake wengi wanamuona genius kimakosa.
Fid Q huwa anaonekana genius kwa sababu huwa anajipanga na kufanya maandalizi makubwa kabla hajatema mistari kwenye mic, ila sasa likijaga swala linalohitaji uwezo wa kufikiria asilia ambalo halihitaji maandalizi wala kujipanga kwa mfano maamuzi, hapa ndipo huwa anatuacha midomo wazi.
Hivi kwa akili gani fid q alim backup Steve Nyerere kuwa msemaji wa wana muziki ??
Fid q ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki, huoni uzito wa nafasi yake hapoKwani Fid Q ndio shirikisho la wasanii?
Wanao msema Fid Q wanakurupuka Fid Q yupo kwenye kamati iliyo mteuwa Steve Nyerere.Mtu aleze kidogo fid q kafanya nini??
Maana nimeona watu wengi wanamsema
Fid Q ana cheo kikubwa cha kuwa katibu mkuu hilo shirikisho, acha kumfnya aonekane kama ana cheo cha kawaida.Wanao msema Fid Q wanakurupuka Fid Q yupo kwenye kamati iliyo mteuwa Steve Nyerere.
Eti kisa Stive Nyerere kateuliwa wanamu attack Fid Q bila kujua ilikuwa kamati.
Kama umelifuatilia hili sakata Fid Q wala hana kosa kama mnavyo msakama.Fid Q ana cheo kikubwa cha kuwa katibu mkuu hilo shirikisho, acha kumfnya aonekane kama ana cheo cha kawaida.
Katibu wa shirikisho afanyi maamuzi yake peke yake, ukiwa kwenye team unaweza usikubariane na maamuzi fulani lakini kuna principle ya collective responsibility.Fid Q ana cheo kikubwa cha kuwa katibu mkuu hilo shirikisho, acha kumfnya aonekane kama ana cheo cha kawaida.
Binafsi nasema hawa wanakurupuka na maneno ya mtandaoni na wao wanaleta hivyo hivyo bila kupima.Katibu wa shirikisho afanyi maamuzi yake peke yake, ukiwa kwenye team unaweza usikubariane na maamuzi fulani lakini kuna principle ya collective responsibility.
Watoto wadogo mna kelele na hamjui vitu vidogo kama hivi.
nilimsikia mwana fa leo wasafi fm hakuna kamati iliokaa kumteua huyo steve zaidi ya kujuana tu chamsingi fidi kapuyanga sanaWengi mnakurupuka kumu attack Fid Q pasipo kujua chochote.
Stive Nyerere aliteuliwa na kamati Je, Fid Q pekee ndio kamati?
Hebu msikurupuke Kwanza kuna mjumbe mwingine amepinga kukataliwa kwa Stive Nyerere je, na huyo ni Fid Q.
JF mnaendeshwa na mihemko hamujui chochote.
Ni kazi kubishana kwa ushabiki ungesikiliza EA Radio pengine kuna kitu ungejua maana waliliongeleanilimsikia mwana fa leo wasafi fm hakuna kamati iliokaa kumteua huyo steve zaidi ya kujuana tu chamsingi fidi kapuyanga sana
siko kishabiki maana nimeandika nilichokisikia na conclusion yangu.Ni kazi kubishana kwa ushabiki ungesikiliza EA Radio pengine kuna kitu ungejua maana waliliongelea
Musical genius mkuu sio lazima wote wagundue e=mcs2Hawa ndio magenius wa africa... Genius wa kuunganisha misemo na kutoka nyimbo..
Title haiendani na content uliyopostFid Q akiwa kama Katibu Mkuu wa Shirikisho, alionesha wazi ana uwezo mdogo wa kufikiri, kivipi msanii nguli kama yeye alimpa "sapoti nzima" Steve Nyerere 🤓🤓 kuwa msemaji wa wana muziki ??
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo alafu hutafsiri kuja kiswahili na kufanya ionekane kama wazo lake, kwa hali hii wasikilizaji wake wengi wanamuona genius kimakosa.
Fid Q huwa anaonekana genius kwa sababu huwa anajipanga na kufanya maandalizi makubwa kabla hajatema mistari kwenye mic, ila sasa likijaga swala linalohitaji uwezo wa kufikiria asilia ambalo halihitaji maandalizi wala kujipanga kwa mfano kwenye maamuzi, hapa ndipo huwa anatuacha midomo wazi.