Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Babu hayo maisha ya bora liende tu, unafikiri utawapa quality life watoto wako. By the way na wewe ungepass value za moderate life tu kwa watoto wako nothing more. Binafsi baba zangu naona wangeachieve zaidi kama wangekuwa wachache. We ukiamka unawaza tu nikakaze wapi kiuno kwa mke gani, si chakula kipo. Maisha gani hayo!
 
Eti maisha ya kuamka na kuwaza kwenda kukaza kiuno tu 😅🙌

Sikutegemea kama ungekuwa mkorofi kiasi hicho Mjukuu 🤗

Umesema sahihi, Maisha ya vile yanakuwezesha kuwa na Kipato cha wastani na utajiri wa watoto tu ambapo Kwa Dunia ya sasa unakuwa ni mzigo Mkubwa kwenye kumudu kuwapatia mahitaji
 
Wanakula hadi share yako?
 
Kama sio bikra usioe
 
😂😂
 
AMINA
 
Afu we kyagata (tokokotola)🤔🤣tulekagi basukuma Ole nchokozi

Tafsri(tutakupiga kyagata tuache wasukuma) 🤣 SAGUDA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…