Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Huku wanawache wanavutambi ila usukukumani hakuna mwanamke mwenye kitambi.
usukumani mwanamke ni kama mnyamakazi, kunenepa sio rahisi,
uchagani mwanamke asipokula chakula anakula mabusu!
 
Mtu unakula msosi mnzito maana baadae unakwenda shambani kulima .Au Ndemi kila siku tunampikia ugali asubuhi na mariboto na Nkalango wenye nhwili za kutosha.Bugali Bo Ndemi .Hapo Ndemi anashinda machungani kirahisi kabisa.
 
Hao uliokutana nao ni wazembe. Baada ya hapo kulitakiwa kuletwe wali au viazi kama dessert. Itakuwa umekutana na wasukuma wa mjini mkuu😂
 
Hii pia nilikutana nayo sehemu, yaani sisi kama wageni tukatengewa sahani za vifusi vya wali na nyama za kutosha. Baada ya dk chache ikaletwa nguna na mboga kama zote. Wazee wanasema ile ya kwanza ilikuwa ni kionjo(yaani kuliandaa tumbo) kabla ya kupata chakula.
 
Mtu unakula msosi mnzito maana baadae unakwenda shambani kulima .Au Ndemi kila siku tunampikia ugali asubuhi na mariboto na Nkalango wenye nhwili za kutosha.Bugali Bo Ndemi .Hapo Ndemi anashinda machungani kirahisi kabisa.
Dah umenikumbusha bhugali bho ndimi, ugali wa moto, nkalango au nyama iliyokaushwa ( ng'homele) na mtindi ( malibhoto).

Tatizo la Nguvu za kiume utalisikia Daslama tu 😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂
 
Ndio maana vyoo vya wasukuma vinajaa ndani ya wiki moja, Yaani akijisaidia Mtu mzima msukuma mahala utafikiri ni tembo kaliachia

Kupunguza hawawezi ni jadi yao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤒
Huu uzi nimecheka sana
 
Hahaha..............kama umezoea misosi yetu ya town, ukishakula wali hutakuwa na uwezo wa kula tena hiyo nguna 😅🙌
 
Naipenda kabila yangu kinoma noma Wasukuma Juu, acha tule kabisa maana hata kulima tunalima sana .
 
We mshenzi sana, unaenda kwenye familia ya mtu unapikiwa unakula na kushiba kumbe unawachora watu wema na maisha Yao?

Unawezaje kuleta Uzi kumzungumziq mtu ambaye hakukutendea ubaya Tena anakula vyake?

Angekuja kwako Akala si ungefungua maelfu ya nyuzi?
Makabila mengine sijui mkoje, ufahamu wenu mdogo juu utofauti wa desturi za maisha.

Wasukuma ni wakulima wa mazao mengi ya chakula, hatuishi kwa kuogopa gharama za kilo/ mzani wa vitu, tunafuga na kutafuta Mali kwa juhudi zetu. Inawauma Nini? Kazi zilizowashinda wengi tunazifanya nalo tatizo?

Sisi hatuna mavitambi ya mafuta ya transfoma na broiler wa chanjo, tunakula vya kienyeji.
 
We haupo uchagani, upo upareni, ole wako uje huku uchagani ule kama vita, tutakumaliza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…