- Thread starter
- #81
Bado nadhani akisema siku ya mwisho kumaliza hedhi utata utaisha,yy mwenyewe nahisi amejisikia vibaya akutarajia haya majibuSawa mkuu! Wifi ashapokea simu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado nadhani akisema siku ya mwisho kumaliza hedhi utata utaisha,yy mwenyewe nahisi amejisikia vibaya akutarajia haya majibuSawa mkuu! Wifi ashapokea simu?
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nin
Hapo moja bila team ngeni inaongoza🤣🤣Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
kitawachanganyaje wote, sema kinachokuchanganya wewe, kwani kasema na yeye amechanganyikiwa?Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Ndiyo ali expect angeambiwa mimba ina wiki saba hivikitawachanganyaje wote, sema kinachokuchanganya wewe, kwani kasema na yeye amechanganyikiwa?
Mngemuuliza daktari angewaelewesha vizuri sababu inaonekana ndio mimba yenu ya kwanza.Bado nadhani akisema siku ya mwisho kumaliza hedhi utata utaisha,yy mwenyewe nahisi amejisikia vibaya akutarajia haya majibu
Just vibeFirst meet tarehe 24/12 then ukaomba game tarehe 28/12 ukapewa dah!!
kuna walakini hapo inaonyesha jinsi gani watoto wa like wanazidi kuwa Malaya.
Muda gani ukipita mkipewa tunda ndio demu anakua sio malaya?First meet tarehe 24/12 then ukaomba game tarehe 28/12 ukapewa dah!!
kuna walakini hapo inaonyesha jinsi gani watoto wa like wanazidi kuwa Malaya.
1+1=0 swali fikirishi je kabla huja chimba mgodi mlipima kama hamkupima, mbuzi kafia kwa muuza supuLeo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Mkuu Wanawake ni vile unavyowaingia tu ,hata Leo Leo unaweza onana naye Asubuhi, jion ukapiga na Wala sio Malaya.First meet tarehe 24/12 then ukaomba game tarehe 28/12 ukapewa dah!!
kuna walakini hapo inaonyesha jinsi gani watoto wa kike wanazidi kuwa Malaya.
Mwachie MunguInawezekana hii?!!
Kupima nn mkuu1+1=0 swali fikirishi je kabla huja chimba mgodi mlipima kama hamkupima, mbuzi kafia kwa muuza supu
ni mke wako au demu wako, tuanzie hapo ili tuone huo mchanganyiko ukojeNdiyo ali expect angeambiwa mimba ina wiki saba hivi
KwiishaaaaMpenzi wako ana mimba ya mpenzi wake..hapo hujaelewa Nini mkuu
Demuni mke wako au demu wako, tuanzie hapo ili tuone huo mchanganyiko ukoje
Duh huyo hapana aiseMkuu Wanawake ni vile unavyowaingia tu ,hata Leo Leo unaweza onana naye Asubuhi, jion ukapiga na Wala sio Malaya.
Kwani mlienda kupima niniKupima nn mkuu