Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waitaliano wanapenda Bata hua hawana kwere kuvunja wallet na kuparteee,Mabibi wa kitaliano wapo poa sana
hahahah kweli aiseee Kuna muda nilikua na experience life la uropa maana muda mwingi nilikua nipo Karibu na whites siku nzima nafanya service bungalow baasi hapo ni mwendo wa koktal,spirit and wine kama nipo Miami beach hahahahhaa!Unguja Ka mbele tu mama.e
🤣🤣Unategemea kuishi kwa kuhongwa na mabibi hadi lini?
Wana pimaga Ngoma kweli?Waitaliano wanapenda Bata hua hawana kwere kuvunja wallet na kuparteee,
Madem wa kiitaliano wanapenda mpini balaa Yaani kukutunuku haoni kazi Aisee!
hahahaaha kivipi mkuu mbona sijakusoma?Wana pimaga Ngoma kweli?
Wao si Wana gawa tu burudan bila kujari afya yao na wanao wagaiyahahahaaha kivipi mkuu mbona sijakusoma?
mbere Kwa mbere kanyaga twende tairi rikipasuka temberea rimu muraaaa!Wao si Wana gawa tu burudan bila kujari afya yao na wanao wagaiya
kwahiyo Mwanaume akikupa tips tatizo lipo wapi?KWA stair hyo utakuja kupewa tips na mwanaume mwenzako na utakenua tu
Mia 400 ni nini?Makaburu wameishi na waafrika miaka karibia mia 400 hakuna wasichokijua
Huyo mmasasi stori yake ilikuaje?hahahaaha yule alikua boya na mwenye tamaa,aliwaaibisha Sana wanaume na wamasai Kwa kweli
Tatizo kupenda kitonga na tamaa zilimponza shenzy zake!
hahahaaha Kuna mzungu alifika zake visiwa vya karafuu kutalii Sasa kumbe yule bwana ana tabia za kimende,akawa anatafuta mtoto Mchele Mchele a.k.a Mchele wa Pemba, mrenda mrenda,Wali Nazi Ili amtindue Tako,Huyo mmasasi stori yake ilikuaje?
#MaendeleoHayanaChama
Ilikuwa lini hiyo??.hahahaaha Kuna mzungu alifika zake visiwa vya karafuu kutalii Sasa kumbe yule bwana ana tabia za kimende,akawa anatafuta mtoto Mchele Mchele a.k.a Mchele wa Pemba, mrenda mrenda,Wali Nazi Ili amtindue Tako,
Baada ya kuona Hana njia ya kupata akakutana na Masai Mmoja na kumpa deal la kumtafuta Huyo Kijana Kwa gharama yoyote na dau lilikua kubwa tu kimtindo
Eee bwana eee Masai si akaingia tamaa akaona AAA wee hii Dili atafaidije mwingine wakati na Mimi naweza Kazi kwani sh ngapi
Akarudi kumwambia yule bazazi Ile Kazi anaiweza aiseee yule bazazi si akamtundua Marinda Tena hadharani
Baada ya kitendo kile Masai alidhalilika Sana akaamua aji rest in peace Kuepusha fedheha maana ilikua Soo!
Ndio Hivyo yaani!
MiakaMia 400 ni nini?