Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

KWA stair hyo utakuja kupewa tips na mwanaume mwenzako na utakenua tu
kwahiyo Mwanaume akikupa tips tatizo lipo wapi?
Acha fikra Mbaya Arif mbona hua wanatoa kiroho safi tu mfano Mimi ni Barman nikisha mix makoktal yangu nikawapiga na ma mojitos, Cubaribre, ciders,wines wanang'ata ma snacks Wana party na mademu zao mwisho wanavyoondoka lazima wadondoshe tips kitu Cha $100 Hadi 200 tunaishi kiroho safi kabisa yaani hata Hizo mambo unazozifikiria hazipo!
Tatizo Nini?
 
Arusha Marasta wanakana mpaka ndoa/familia zao. Ili angalia maisha yaende

images (13).jpeg
 
Huyo mmasasi stori yake ilikuaje?

#MaendeleoHayanaChama
hahahaaha Kuna mzungu alifika zake visiwa vya karafuu kutalii Sasa kumbe yule bwana ana tabia za kimende,akawa anatafuta mtoto Mchele Mchele a.k.a Mchele wa Pemba, mrenda mrenda,Wali Nazi Ili amtindue Tako,
Baada ya kuona Hana njia ya kupata akakutana na Masai Mmoja na kumpa deal la kumtafuta Huyo Kijana Kwa gharama yoyote na dau lilikua kubwa tu kimtindo
Eee bwana eee Masai si akaingia tamaa akaona AAA wee hii Dili atafaidije mwingine wakati na Mimi naweza Kazi kwani sh ngapi
Akarudi kumwambia yule bazazi Ile Kazi anaiweza aiseee yule bazazi si akamtundua Marinda Tena hadharani
Baada ya kitendo kile Masai alidhalilika Sana akaamua aji rest in peace Kuepusha fedheha maana ilikua Soo!
Ndio Hivyo yaani!
 
hahahaaha Kuna mzungu alifika zake visiwa vya karafuu kutalii Sasa kumbe yule bwana ana tabia za kimende,akawa anatafuta mtoto Mchele Mchele a.k.a Mchele wa Pemba, mrenda mrenda,Wali Nazi Ili amtindue Tako,
Baada ya kuona Hana njia ya kupata akakutana na Masai Mmoja na kumpa deal la kumtafuta Huyo Kijana Kwa gharama yoyote na dau lilikua kubwa tu kimtindo
Eee bwana eee Masai si akaingia tamaa akaona AAA wee hii Dili atafaidije mwingine wakati na Mimi naweza Kazi kwani sh ngapi
Akarudi kumwambia yule bazazi Ile Kazi anaiweza aiseee yule bazazi si akamtundua Marinda Tena hadharani
Baada ya kitendo kile Masai alidhalilika Sana akaamua aji rest in peace Kuepusha fedheha maana ilikua Soo!
Ndio Hivyo yaani!
Ilikuwa lini hiyo??.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Yaani huyu jamaa ameona kabisa ni sawa kuja kulalamika huku kuwa hapewi hela baada ya kujiuza? Mwanaume mzima? Halafu anakaribisha Wamachinga eti wakasake noti!!! 😱 😡😡
 
Back
Top Bottom