Watoto wa siku hizi wanadekezwa sana

Itakuwa ni mpango wa mama mtu ili afanye kubusti mauzo
 
Niliwahi kufika kwenye nyumba Fulani dogo alikuja na sindano anataka kunichoma mama yake akasema usikwepe atalia Sitasahau nilisepa hapohapo [emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu, Wife kastuka usingizini kwa bed. Ananiambia “endelea kuchekeshwa na malaya zako kwa simu”
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu, Wife kastuka usingizini kwa bed. Ananiambia “endelea kuchekeshwa na malaya zako kwa simu”

[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu, Wife kastuka usingizini kwa bed. Ananiambia “endelea kuchekeshwa na malaya zako kwa simu”
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nakuunga mkono,ma single mama wengi wanawalea watoto wao ki hovyo sana,na kama ni mtoto wa kiume unaweza kufikia mahali ukahisi huyu anatembea na mwanae...
 
Hayo mambo ya kuhusu watu kujiweka utupu yanategemea, mila na jadi na mtu alipotokea. Wengi wa wakosa maadili utakuta wametokea kwenye familia zilizoacha kujifunza na kufunza vizazi vyao maadili kutokana na mafundisho ya dini.

AlhamduliLlah, Uislam unahimiza stara popote tulipo. Nasisitiza, tusichanganye Uislam na Muislam.

Ninewaona Waislam wengi ambao utamkuta katupia khanga moja tu mbele ya watu na hata hajali kabisa, kinyume kabisa na mafundisho ya Uislam.

Hali kadhalika kwa wasio Waislam.

Tatizo la kutokuwa na maadili ni watu kuwacha kusoma na kusomesha dini watoto zetu.

Hutokuta upuuzi wa maadili kwenye familia zinazofata na kushika mafundisho ya dini.

Tunaishi kutokana nanayoyaona kwenye nedia za kimagharibi, ambayo yote uliberali (ushetani).

Hatujachelewa kurudi kwenye maadili kwa kufata mafundisho ya dini. Tukumbushane mara kwa mara, asaa tutamuokoa japo mmoja.
 
Niliwahi kufika kwenye nyumba Fulani dogo alikuja na sindano anataka kunichoma mama yake akasema usikwepe atalia Sitasahau nilisepa hapohapo [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu, Wife kastuka usingizini kwa bed. Ananiambia “endelea kuchekeshwa na malaya zako kwa simu”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna limoja nilikuta linamsuka mwanaye wa kiume nywele ilinichukua muda sana kujua kwamba dogo ni ME baadaye likiwa bwabwa anaanza kwenda kutafuta mafuta ya alizeti kwa mwamposa, watu wamevurugwa sana maaneeneeer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…