Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mi naenda mara kadhaa huko ila mwisho mwezi wa tano, wajinga wale wabaguzi sanaSawa sawa ... Kwanza mkuu mi kiufupi na ndugu zangu tunaogopa sana maji..
Tutabaki huku huku aiseeee huko hapana ππππππ
Huwezi kujenga hoja, unachoweza ni kutukana tu ?Kwani lazima ww mkristo uwepo znz si uende israel nyangβau
Kwani mi nikila wao imani yao inathirika na nini? Unafunga kumfurahisha mtu au Mungu wako?Chukulia uko ofisini kwako karibia staff wenzako wengi wamefunga,,,je unaweza kula mbele yao? Busara tu ya kawaida itakuelekeza nini?
busara kwa kawaida itakuelekeza niniKwani mi nikila wao imani yao inathirika na nini? Unafunga kumfurahisha mtu au Mungu wako?
Busara ya imani? Kila mtu anapaswa asimamie anachokiaminibusara ya kwa kawaida itakuelekeza nini
Mkuu, issue hapa ni uroho. Acheni uroho mkifunga, wwe umefunga kula alafu hutaki kuona watu wanakula eti wanakutamanisha sasa hapa si bora usifunge tu tena mnakamata mpaka mama ntilie wanaopikia ndani kwaoMfahamu hapa inatumika hekima ya tamaduni sio dini.
Mfano kule ulaya kuna tamaduni matamasha ya LGBT jee hapa Tanzania wakisema waje wafanye mtakubali kwa tamaduni zenu?.
Kwani shida ipo wapi ? Mtu aliefunga kwa imani hata ukila mbele yake wala si tatizo, kafunga kwa imani sio kwamba kashinda njaa kama mtu anaefanya diet.Chukulia uko ofisini kwako karibia staff wenzako wengi wamefunga,,,je unaweza kula mbele yao? Busara tu ya kawaida itakuelekeza nini?
Pumbavu mama yako..Udini tuZanzibar ina utaratibu wake iliyojiwekea kwakuwa asilimia kubwa ya wakazi wa kule waislamu,,,,haitakiwi kula hadharani period.
Je tunashindwa kuheshimu hilo kwa mwezi mmoja tu? Tatizo letu sisi tunaingiza udini hapa ukristo vs uislamu.
Lakini tukitoa hiyo kutu akilini kwetu tutaona kwamba hiyo sheria na lazima ifuatwe period.
Tuache kila siku kulialia Zanzibar zanzibar pumbavu!
Zanzibar ni dola la kiislam?
serikali ya Zanzibar inaongozwa na katiba ya kiraia au Quran?
mahakama zinashtaki waliokamatwa wanakula wakiwemo wakristo kwa sheria za kiislam?
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja Zanzibar ACP Abubakar Khamis Ally amesema Jeshi hilo litaendelea kuwakamata wale wote wataoonekana au kukutwa wakila chakula mchana hadharani katika mwezi huu mtukufu kwa waislam ramadhani.
ACP Abubakar Khamis Ally amenukuliwa na AyoTV akisema βKwa mwezi huu kwa ramadhani kwa tamaduni ya Nchi hii hata sehemu za vyakula utakuta zimefungwa kwahiyo sio vyema wakakaa maeneo wakala hadharani hilo ni kosa na ndio maana tunawakamata na tutaendelea kuwakamata kwani inaleta kero kwa wengineβ
Hadi sasa ni Watu 12 wamekamatwa kwa kosa hilo
MY TAKE:
Suala la mfungo wa Ramadhan ni la kidini sio utamaduni, kusema kwamba kwavile Zanzibar imejaa waislam ni utamaduni au utaratibu wao hivyo kila mtu afuate hata wasio waislam sio sawa, huu ni ubaguzi wa kidini, hivi kwakuwa bara wamejaa wakristo tukisema adhana zipigwe marufuku kwavile sio utaratibu wetu, hiki ni nini kama sio udini ? kitekelezwe kwakuwa ni utamaduni / utaratibu ? NO !!
huu ni mwezi mtukufu wa Ramadan kwa waumini lakini kuna wasio waumini huu mwezi kwao ni wa kawaida waachwe waendelee na maisha yao ya kawaida
Tanzania (bara na visiwani) ni nchi huru kila mtu ana uhuru wa kufanya anachotaka maadam havunji sheria za nchi (sio za dini), kila mtanzania ana haki ya kula hadharani .
Shida iko labda wewe huioni,,,,kwakuwa kule wengi ni waislamu basi ibada yao inatakiwa iheshimiweKwani shida ipo wapi ? Mtu aliefunga kwa imani hata ukila mbele yake yake wala si tatizo.
Hii nchi kila mtu kachanganyikiwa kivyakeπ€£ halafu kuna wengine hatujui hata kama tumewehuka
Kuna utofuti wa kufunga na kufanya diet kwa kujifosi kushinda njaa, anaefunga hababaiki lakini anaefanya diet mnamuingiza tamaa ana haki ya kulalamika.Kwani mi nikila wao imani yao inathirika na nini? Unafunga kumfurahisha mtu au Mungu wako?
Usipanic chief,,, relax huu mchezo hauhitaji hasiraPumbavu mama yako..Udini tu
Kwahiyo kumbe kuna kufunga na diet? AiseeKuna utofuti wa kufunga na kufanya diet kwa kujifosi kushinda njaa, anaefunga hababaiki lakini anaefanya diet mnamuingiza tamaa ana haki ya kulalamika.
Si ijulikane tu kuwa serikali ya zanzibar ni ya kislam, sasa kama polisi inakamata watu wanaokula mchana huo ni uvunjifu wa haki za binadam
Mfungo wa ramadhani ni suala la Dini sio tamaduni,ni jambo la ajabu sana kwa baadhi ya wazanzibari kujimilikisha suala hili la dini na wakadai eti ni utamaduni wao.Mfahamu hapa inatumika hekima ya tamaduni sio dini.
Sasa ukajifiche wapi na upo ofisini ndani ?Chukulia uko ofisini kwako karibia staff wenzako wengi wamefunga,,,je unaweza kula mbele yao? Busara tu ya kawaida itakuelekeza nini?
kwanini nishindwe kula mbele yao, kufunga wafunge wao tupateshida wote huu upuuzi wa wapi??Chukulia uko ofisini kwako karibia staff wenzako wengi wamefunga,,,je unaweza kula mbele yao? Busara tu ya kawaida itakuelekeza nini?
tatizo vichwa vyao vimejazwa elimu ahela tuMfungo wa ramadhani ni suala la Dini sio tamaduni,ni jambo la ajabu sana kwa baadhi ya wazanzibari kujimilikisha suala hili la dini na wakadai eti ni utamaduni wao.
busara kwa kawaida itakuelekeza nini