Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar
kwanini nishindwe kula mbele yao, kufunga wafunge wao tupateshida wote huu upuuzi wa wapi??

hii dini ya kiisilamu imekua tatizo kila sehemu duniani, hivi wa buddha wa hindu wa kristo nao wakianza vitu kama hivi hii dunia itakalika kweli??
Naona hujielewi kabisa,,, mnapenda sana chokochoko za kidini
 
kwanini nishindwe kula mbele yao, kufunga wafunge wao tupateshida wote huu upuuzi wa wapi??

hii dini ya kiisilamu imekua tatizo kila sehemu duniani, hivi wa buddha wa hindu wa kristo nao wakianza vitu kama hivi hii dunia itakalika kweli??
Halafu wenyewe wanavyotupigia kelele na mavipaza sauti yao wanafikiri tunawafurahia.
 
Mitanganyika rudini kwenu kipindi hiki kumbukeni kule Zanzibar sio kwenu
 
Naona hujielewi kabisa,,, mnapenda sana chokochoko za kidini

Halafu kufunga siyo matangazo ya biashara. Shida yenu inaanzia hapo. Mnapenda attention ya kila kitu mnachofanya. Lkn cha kusikitisha, mambo mengi mnayofanya ni nonbrainer. Hamtumii vizuri uwezo wenu wa kufikiri.
 
Wewe unajitambua kweli ,uhusiano wa kula mchana na serikali ni wapi na wapi,
Wamekamata watu wanaokula mchana kwakuwa ni mwezi wa rama,
Sasa hakunaje uhusiano na uislamu!
Kweli we ni Zombieboss. We si nunda? Basi nenda kale mchana wa mwezi wa Ramadhani halafu tatakayokukuta akili itakukaa sawa.
 
Halafu kufunga siyo matangazo ya biashara. Shida yenu inaanzia hapo. Mnapenda attention ya kila kitu mnachofanya. Lkn cha kusikitisha, mambo mengi mnayofanya ni nonbrainer. Hamtumii vizuri uwezo wenu wa kufikiri.
Attention kivipi
 
Shida iko labda wewe huioni,,,,kwakuwa kule wengi ni waislamu basi ibada yao inatakiwa iheshimiwe
Kwahiyo mfano kijiji fulani ni wakristo 99% ni sahihi wajitungie sheria zao ikiwemo wakati wa kwaresma ole ule hadharani?
 
Shida iko labda wewe huioni,,,,kwakuwa kule wengi ni waislamu basi ibada yao inatakiwa iheshimiwe
Kwahiyo mfano kijiji fulani ni wakristo 99% ni sahihi wajitungie sheria zao ikiwemo wakati wa kwaresma ole ule hadharani?
 
Back
Top Bottom