Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Sidhani.....Atafungwa kwa sheria ya kukataza kula.mchana ramadhan na atakaa jela hadi ramadhan iishe.
Watapewa onyo wasirudie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani.....Atafungwa kwa sheria ya kukataza kula.mchana ramadhan na atakaa jela hadi ramadhan iishe.
We ni mkazi wa zanzibar au unaropoka nyuma ya keyboardsheria ipi inayokataza mtu asile hadharani
Ndio ni kosani kosa la kisheria kwa Zanzibar? wajuzi wanijuze.
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaYani ukishaona dini linalazimisha kwa nguvu kutekeleza matakwa yake ujue ni feki. Uislamu umejaa mastory ya fiction na uongo mwingii ila lengo lilikuwa ni kutawala tu.
Kwenye ukweli lazima pasemwe binafsi siafiki huo utaratibu,,, ingefaa baada ya adhana kuwaita watu katika swala baada ya hapo zitumike spika za ndani
Hiyo ni changamoto ambayo waislamu tunatakiwa kuiangalia
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika• Ivi kufunga ni lazima?,
• Yani nishindwe kula kisa jumuia fulani imefunga?
• Kweli Africa akili zimepungua!
weka kifungu cha sheria kinachokataza watu wasile hadharaniWe ni mkazi wa zanzibar au unaropoka nyuma ya keyboard
Mkuu unatetea basi tu. Hili ni tatizo, niambie na hawa walikuwa wanakula hadharani?Mtaani ndio tatizo mkuu, hajazuiwa mtu kula ndani ya hotel au nyumbani kwake, kilichozuiwa ni kula nje hadharani
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaKwani zanzibar ni nchi ya kiislam? Huo ni upumbavu kulazimisha watu waamini ujinga. Mungu gani huyo anapambaniwa na watu ili aabudiwe?
Huo upumbavu usifike bara, bara watu wanakula mchana peupe tena malangoni pa misikiti, kuna migahawa kwenye fremu zao na watu wanapata chakula kama kawaida bila kubughudhiwa
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaTangu waanze kufunga kuna la maana lipi wamefanya zaidi ya kuweka PAUSE machafu yao, baada tu ya mfungo wana press play. Wanamchezea Mungu. Mfungo focus kwao ni chakula sio mabadiliko ya kiroho, kutwa nzima kusubiri iftar na kupanga iweje. Takataka
haya majitu ni kelo sana kwa kweliMuda wa watu kwenda ibadan haujulikani mpaka uamshwe kwa kelele? Hilo linawafanya watu wengi watilie shaka upendo wa waislam kwa mungu wao.
Ina maana wasipoitwa hawataenda msikitini?
Wewe unayemkamata mwenzako unaumia nini akila chakula?Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini magharibi Unguja Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Abubakar Khamis Ally amesema kufuatia video iliyosambaa mitandaoni ikiwaonesha baadhi ya watu katika eneo la viwanja vya mnazi mmoja Zanzibar wakila hadharani wakati wa mchana wa Ramadhani, Jeshi hilo lilifanya msako na kuwakamata watu wapatao kumi na mbili wakiwa na vielelezo ambapo amesema wanaendelea na taratibu nyengine ili kuwafikisha Mahakamani.
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika“Jua linazama matopeni”
Hiyo sheria ipo toka wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaMbona ulaya kutwa wanataka yakwao tuyafate. Waislamu wana kasumba ya kujiona bora sana. Wakati mtume wao kaja miaka zaidi ya mia 6 baada ya kristo.
Hiyo sheria ipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaHaya mambo ya kulazimishana kufunga nadhani hayajakaa sawa.
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaJiwe jeusi lipo tuu linasubiri mawe ya watalii wanaoenda kuhiji
Hizo sheria zipo watafungwa mwaka mmoja na viboko kumi na mbili Sita wakiingia jela na Sita wakitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaHAYA MATUKIO YALITABIRIWA
Mwenye hiyo video ya hao raia wakila mchana aweke hapa
Haya je akikamatwa atafungwa kwa sheria gani na adhabu yake ni ipi kwa muda gani?
Wacha porojo tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikakwani serikali ya Zanzibar inaongozwa na khalifa wa kiislamu?
Adhana inamaana kubwa sana chief,,, ukiacha kuwaita watu Katika swala lkn ni ulingano ambao unamlingani mwanadamu amtambue Mola wakeMuda wa watu kwenda ibadan haujulikani mpaka uamshwe kwa kelele? Hilo linawafanya watu wengi watilie shaka upendo wa waislam kwa mungu wao.
Ina maana wasipoitwa hawataenda msikitini?