magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Ukileta kifungu kinachokataza watu kula mchana kipindi hiki Nipigwe Ban.Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukileta kifungu kinachokataza watu kula mchana kipindi hiki Nipigwe Ban.Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaKwahiyo haifwati Katiba ya muungano?
Islamic Sharia au Sheria za Nchi?Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Hizo ni za Nchi Shekhe wenyewe wamejiwekea utaratibu wao na ukakubalika watajua wanashitakiana vipi, mbona bara tunakaa na watu wanakula pembeni na maisha yanaendaIslamic Sharia au Sheria za Nchi?
Wee, thubutu!...hilo ni kosa kwa sheria za znz hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia na sita ukitoka
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaSikutegemea kuwa, Rais Mwinyi atakuja kusimamia UPUUZI huo!
Zanzibar ni Nchi ya Tanzania na Serikali ya Tanzania Secular haiwezi kutunga Sheria za Dini.Hizo ni za Nchi Shekhe wenyewe wamejiwekea utaratibu wao na ukakubalika watajua wanashitakiana vipi, mbona bara tunakaa na watu wanakula pembeni na maisha yanaenda
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaHuu ni upumbavu ni sawa sawa na usikie watu mahali fulani wamekamatwa kwa kula nyama siku ya ijumaa wakati ni Ijumaa Kuu
Dini isiyoweza kuvumilia ni ya kipumbavu sana, sasa mtu kula kunakuuma nini au ni dhambi gani????
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaHuo ni uhuni na haukubaliki..
Kama wewe ukikamatwa kwa kutozingatia ibada za dini isiyokuhusu utaelewa?!
Kuna siku Freemason nao watasema wamefunga kula na hivyo lazima kila mwananchi afunge kama wao.
Kama mtu kafunga kwa kumaanisha mambo ya wengine kula hayawezi kumsumbua.
Kama ndivyo, itakuwaje mfungo ukikukuta bara, utaweza kuzuia watu kula?
Hiyo siyo sheria, ni ulimbukeniTii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaHuu ni upumbavu wa kawaida
Hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaJambo la kuhoji ni je Serikali ya Mapinduzi ni Secular? Kama jibu ni Secular ni kwanini inajiingiza ku enforce Sheria za Dini?
Tunahitaji Mjadala mpana sana kwenye hili jambo.
Kwasababu Serikali ya Jamhuri ya Muungano ni Secular.
Hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaNimeiona kwenye habari leo UTV, je zanzibar inaendeshwa kwa sheria za kiislamu?
Nani kakwambia hawana majibu? Hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaUpuuzi Mtupu Ukiwauliza Sasa Kifungu Gani Kinawapa Mamlaka Kukamata Watu Wanaokula Mwezi Huu Hawana Majibu Kama Suala La 3D Ambalo Nyuma Kuna.
Masasi And Kiboko Company Limited
Sheria za Kijinga zifutwe haraka.Hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Zanzibar Sio Tanzania ??? [emoji848]ni kosa la kisheria kwa Zanzibar? wajuzi wanijuze.
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaNilileta Uzi humu watu wakanishambulia ooh umejitungia, Hawa jamaa unafiki mwingi sana uzur ni kwamba hata wao wenyewe wanajijua ni wanafiki watajijua na huyo mungu wao.
Wacha porojo tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaHata wao wenyewe hawaelew hata wanasimamia kitu Gani? Atakuja muislamu mwingine atakuambia hiyo ni sawa kabisa kutokana na dini ya kiislamu.