Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar
Rekebisha kauli mkuu, Sema Tanganyika. Zanzibar kuna sheria zake nyengine kabisa
kama zipi hizo mbona msoga na wasagaji wamejazana huko hamfanyi kitu,
acheni unafiki

eti zanzibar inasheria zake mbona hamuendi kuwakamata kwenye hotel za kitalii wanaokula,

mnakuja kusumbua watu mitaani,
 
kama zipi hizo mbona msoga na wasagaji wamejazana huko hamfanyi kitu,
acheni unafiki

eti zanzibar inasheria zake mbona hamuendi kuwakamata kwenye hotel za kitalii wanaokula,

mnakuja kusumbua watu mitaani,

Mtaani ndio tatizo mkuu, hajazuiwa mtu kula ndani ya hotel au nyumbani kwake, kilichozuiwa ni kula nje hadharani
 
Kwahiyo kwako wewe hiyo ni kutaka attention,, uko serious chief?

Bro huoni hilo. Kwani wakiimbiana kwa kiarabu chao kimya kimya humo humo msikitini hawasikiwi na Allahu. Au wenyewe kwa wenyewe hawatasikiana? Mambo ya kuweka vipaza sauti vyenye high pitch vinaleta noise pollution na vina athari kwa watu wanaoishi kuzunguka eneo hilo. Wazia kukiwa na wagonjwa, wazee, watoto wachanga si wataathirika zaidi?
 
Bro huoni hilo. Kwani wakiimbiana kwa kiarabu chao kimya kimya humo humo msikitini hawasikiwi na Allahu. Au wenyewe kwa wenyewe hawatasikiana? Mambo ya kuweka vipaza sauti vyenye high pitch vinaleta noise pollution na vina athari kwa watu wanaoishi kuzunguka eneo hilo. Wazia kukiwa na wagonjwa, wazee, watoto wachanga si wataathirika zaidi?
Wazungu wanasema hivi usinyanyue sauti yako ktk mijadala ila imarisha hoja yako.

Point ni wao kuwa na spika za ndani period,,, sio unazungukazunguka
 
Wazungu wanasema hivi usinyanyue sauti yako ktk mijadala ila imarishahoja yako.

Point ni wao kuwa na spika za ndani period,,, sio unazungukazunguka

Sijui kama nimezunguka. Lkn kwenye suala la kuweka spika hizo juu ya paa na kuanza kupiga kelele usiku wa manane, kumenifanya nitilie shaka kiwango cha uelewa na busara zao.
 
Mtaani ndio tatizo mkuu, hajazuiwa mtu kula ndani ya hotel au nyumbani kwake, kilichozuiwa ni kula nje hadharani
kwani Nikila hadharani tatizo nini hivi wahindu wa buddha wapagani nao wakitaka sharia zao zifuatwe hii dunia itakalika kweli??

yani afunge muisilamu kwa imani yake mimi upagani inanihusu nini?
 
Sijui kama nimezunguka. Lkn kwenye suala la kuweka spika hizo juu ya paa na kuanza kupiga kelele usiku wa manane, kumenifanya nitilie shaka kiwango cha uelewa na busara zao.
Kwenye ukweli lazima pasemwe binafsi siafiki huo utaratibu,,, ingefaa baada ya adhana kuwaita watu katika swala baada ya hapo zitumike spika za ndani

Hiyo ni changamoto ambayo waislamu tunatakiwa kuiangalia
 
Back
Top Bottom