Yaani jamaa wakifunga wanalazimisha wengine nao wafunge. Wajifunze toka dini zingine waache kutumia ubabe kwenye mambo ya Mungu.
 
Uislamu Ni mgumu we acha tu.
Sasa hivi inatumika nguvu nyingi kueneza uongo kwamba Magufuli sie aliyehamasisha ujenzi wa msikiti mkubwa Kinondoni.
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika hao hawatoki mpaka Ramadhani inayokuja
 
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika hao hatoki mpaka Ramadhani ijayo
 
Sasa kama mtu imani yake inamruhusu kula anakamatwa kwa kosa gani?
Je, jeshi la polisi Zanzibar ni tofauti na polisi wa bara?
Je, serikali ya awamu hii Ina dini?
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Yani ukishaona dini linalazimisha kwa nguvu kutekeleza matakwa yake ujue ni feki. Uislamu umejaa mastory ya fiction na uongo mwingii ila lengo lilikuwa ni kutawala tu.
Dini zote ni stories za watu tu.
 
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka
 
Uislam ni shida kila mahala..
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa hilo ni kosa kwa sheria za znz hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Wanalazimishwa kumtumikia shetani na mambo yake yote na kazi zake zote.... hivi Zanzibar sio Tanzania? Mbona yakija huku hayabughudhiwi? yanaishi yatakavyo? Hii ndo taibia ya Waarabu/ Waislamu, Israel wawafute kabisa kwenye ramani.
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…