bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaNdio maana Ulaya yote inapiga vita UISLAM.
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaUsifanye urafikí wa Damu na Muislam.
Ni wanafiki na vigeugeu.
Wacha porojo tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaHivi kama mtu amefunga mimi nikila yeye anathirikaje?
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaHao watu ni wanafiki sana wao wanauabudu mwezi kuliko mungu wao
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaMkuu, issue hapa ni uroho. Acheni uroho mkifunga, wwe umefunga kula alafu hutaki kuona watu wanakula eti wanakutamanisha sasa hapa si bora usifunge tu tena mnakamata mpaka mama ntilie wanaopikia ndani kwao
Alafu umetoa mfano hauna maana, ushoga sio utamaduni wa ulaya ni tabia imeanza recently kuleta vikundi kabla ya hapo haukukubalika na hata sasa wazungu sio wote wanaukubali, tamaduni ni tabia na mwenendo ambao umekubalika na jamii fulani kwa kipindi cha miaka mingi, vizazi na vizazi
Huo ni uislam kabisa na hill ndo tatizo kwa hawa wenzentuhiyo sheria haina uhusiano na uislamu, tusinasibihishe kila jambo lililotendwa na muislamu kuwa ni uislamu wenyewe.
Njoo basi huku znz halafu ule hadharani mchana wa Ramadhani uone khabari yakeWaache ujuha na upumbavu
Sheria za kindezi kama hii watatii mataahira tu.
Una umri gani hizo sheria mbona zipo toka karume mkubwaUkileta kifungu kinachokataza watu kula mchana kipindi hiki Nipigwe Ban.
Wewe njoo ule mchana wa Ramadhani huku znz ndio utajua vizuri karibu sana znzIslamic Sharia au Sheria za Nchi?
Wewe vipi watu tayari wananyea MTONDOO wewe unaleta utani znz wanasheria zaoWee, thubutu!
Yaani mtu ni mpagani au dini tofauti na hiyo yenu umpe adhabu ya kipuuzi kisa amekula chakula kwa pesa yake?!!!
Njoo uzifuteSheria za Kijinga zifutwe haraka.
Sasa kweni hii Islamic Sharia inawahusu Atheists Agnostics na Waumini wa Dini nyingine?Wewe njoo ule mchana wa Ramadhani huku znz ndio utajua vizuri karibu sana znz
Zanzibar being predominantly Muslim, during Ramadan, everyone is expected to adhere to the Islamic teachings of fasting from dawn to dusk, at least in public. It is not against the law to eat publicly rather considered polite.
Hiki ndicho google inasema.
Lakini sidhani kama kuna sheria ya dini inasema hivyo ni mihemko ya watu kama asemavyo member M Z A N Z I B A R I
Badala ya kuongea kwa hisia na utashi wako, kwanini usilete bandiko la hiyo sheria hapa?Hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Hili suala lipo nje ya uwezo wako.Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Hiyo sheria ni ya muda mrefu sana Sasa hivi wameikazia tu hujakatazwa kula kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa RamadhaniSasa kweni hii Islamic Sharia inawahusu Atheists na Waumini wa Dini nyingine?