Hivi sisi majitu meusi tuna akili punje nini ? Mbona tunakumbatia hata taratibu za kishenzi kwa mgongo wa imani za kikoloni na utumwa
Hapana mkuu kule raia wengi wanakubaliana na kinachoendelea tunaopiga kelele ni watu wachache wa huku bara, tukisema kule kuna taratibu zao mnapiga makelele acha dawa iingie tu
 
Jifunze kuvumilia, kila kiumbe kwenye huu ulimwengu kina mwanzo wa upeo na mwisho wa upeo wake, tatizo linaanzia pale viumbe wengine mwanzo na mwisho wa upeo wao unakuwa ni mfupi zaidi.
 
Zanzibar inaendeshwa kwa sheria za dini ukienda kule fuata sheria za kiislamu..

Ni kama uko Iran, haina maana kupiga kelele.
Kwa hiyo huko hakuna dini nyingine? Kama zipo kwa nini wafuate utaratibu wa Mila za kiarabu?Hata akiwepo mmoja tu lazima muheshimu maamuzi yake. Wa KUFUNGA afunge wa kula ale fainali tukutane siku ya hukumu
 
Wakiwa bara kuna namna huwa wanabanwa? Au vile bara hawana time na mtu?
 
Wewe unajitambua kweli ,uhusiano wa kula mchana na serikali ni wapi na wapi,
Wamekamata watu wanaokula mchana kwakuwa ni mwezi wa rama,
Sasa hakunaje uhusiano na uislamu!
Wewe unayejitambua,
Nitajie hadithi au aya inayomtaka muhammad awaadhibu wanaokula mchana wa ramadhan.
 
Wanalazimishwa kumtumikia shetani na mambo yake yote na kazi zake zote.... hivi Zanzibar sio Tanzania? Mbona yakija huku hayabughudhiwi? yanaishi yatakavyo? Hii ndo taibia ya Waarabu/ Waislamu, Israel wawafute kabisa kwenye ramani.
 

Attachments

  • Zanzibar.mp4
    3.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…