Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ni kweli.Haya maneno ananiambia mama yako mzazi ili nikujibu.Kwa hiyo haumuheshimu mamayo?😂😂😂Siku zote wanasema usishindane na mwanamke kwa kuongea la sivyo lazima atakuzidi tu taka usitake....Nimekuachia wewe ambaye unajuwa zaidi....Tupo humu jamii forum zaidi ya 16 years so mtu anaesema ukweli tunamjuwa na anaeongea pumba kutafuta kiki tunamjuwa so wacha nikuachie wewe mjuaji zaidi zaidi.....
Nampa heshima zote kama nilivyosema mwanzoni....Hata wewe pia ambaye umeyaongea nakuheshimu pia......Ukitaka kuishi na mjinga na mjuaji lazima uwe mjinga pia so nimekujibu kwa heshima na wala sijaingiza wazazi wako.....Ni kweli.Haya maneno ananiambia mama yako mzazi ili nikujibu.Kwa hiyo haumuheshimu
Leo nimeamini wewe ni juha na zuzu kuu.Sio kazi ya Tiss kusimamia miradi na taarifa ya CAG ni complex ukitaka Tiss wafanye hiyo Kazi sijui kama Wana manpower za kutosha kuwepo kila sehemu kufanya uchunguzi sio tuu wa pesa bali wa quality ya miradi,hii ni ngumu Bora hata ungeuliza Takukuru maana wao ndio Wana jukumu la moja kwa moja..
Nawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Kazi kwenu!
Bill of loading=bill of lading....Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Sio Kazi ya Tiss kusimamia miradiLeo nimeamini wewe ni juha na zuzu kuu.
TISS kazi yao ni nini?
Yaani unasema hawa jamaa hawana manpower ya kuyosha kweli!!!???
Hivi huwa wanakagua nini??
Mpuuzi TU wewe na unadhani unawajua Sana watu wa data ilihali huwajui! Huko jikoni nenda wewe womanizer Mimi nitamwagiza bodaboda aje anichukulie. Nipe location ya ulipo! Nisome Tena Kwa makini Kisha Rudi kwenye reply Yako usome Kama unaniunga mkono bila kujitambua! Acha kukurupuka na angalia idadi ya likes kwenye hoja yangu ndio utajua kuwa sikurupuki kujenga hoja!Ungekaa kimya kuliko kuandika, achana na watu wa data wewe!
Wewe nenda jikoni kasonge ugali wanaume waje kula wakishaanika mambo!
Huelewa = uelewa!Nahisi huelewa wako ni mdogo sana!
Huwezi kuelewa nilichomaanisha kwa kundika vile! Na hutaweza,Ila akisoma Mwigulu atanielewa nini namaanisha,
By the way mimi sio chawa na sijawahi kuwa na sio kijana mpuuzi kama wewe, naweza kuwa Baba yako.
Nakubliana na wewe 1000%Mkuu Jp Omuga,
Ukiangalia thamani ya mijadala inayoendelea ndani ya jukwaa hili siku hizi utajuwa tulipofika kama nchi.
Ndiyo maana utaona hata mabadiliko ya wachangiaji wengi katika mada ni za kusifu au kukashifu tu; hakuna majadiliano ya kina juu ya hoja zinazoelimisha na kushauri.
JF sana sana, sasa hivi imebaki na sifa za jina tu basi, hakuna mijadala mizito.
Ukiona hata watu makini wanapoingia humu na kuchangia chochote, hawatumii ule umakini uliokuwepo hapo zamani; umakini wa kutafuta taarifa sahihi na kuziwasilisha kimpangilio.
Baada ya kuandika haya, hoja yako juu ya katiba ni nzuri sana, lakini sioni jinsi inavyoweza kujadiliwa humu kwa mtindo wa mijadala ilivyo siku hizi.
Sijui kama mada 'serious' kama hiyo itapata wachangiaji ndani ya jukwaa hili kwa jinsi lilivyokaa siku hizi.
Kazi iliyopo siku hizi kwa wachangiaji ni kurashiarashia tu kwenye uandishi bila kujali uzito wa yanayotakiwa kuwasilishwa.
Sijui, labda Maxence anajuwa jinsi ya kutengeneza pawepo na umakini unaotakiwa kwenye mada ya aina hiyo.
Vema.Usirudie ujinga.Nitakukera.Nampa heshima zote kama nilivyosema mwanzoni....Hata wewe pia ambaye umeyaongea nakuheshimu pia......Ukitaka kuishi na mjinga na mjuaji lazima uwe mjinga pia so nimekujibu kwa heshima na wala sijaingiza wazazi wako.....
Mambo ya kulamba asaliNawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Kazi kwenu!
ACHA UPUUZI HAPA, KAMA SHIDA ZAKO PELEKA KWA WAZEE WAKO.Huelewa = uelewa!
Hatupimani hapa Bali kueleweshana! Kuwa babangu weka x. Kuwa mpuuzi sidhani ndio maana Mimi ni member wa jf. Kuwa na nidhamu inayolingana na umri wako basi! Nachelea kukutukana kwani umeshajitukana kwenye reply Yako eti akiisoma uliyemtaja ndiye atakayekuelewa. Kwanini usimmwandikie inbox? Chawa mtiifu wa mtuhumiwa.
Watanzania wote ni maskini bwasheeUsilete mamifano irrelevant ,seems huelewi hata utendaji Kazi wa kampuni na mtu binafsi,on top of that Kuna sheria ya maadili wanatamka na kuweka bayana interest zao za mali nk..
Hatuhitaji maskini kwenye uongozi na by the way watu wanapata salary,posho and other stinge benefits za kazi gani ? Utakula zote? Zingine una invest na maisha yanaendelea..
Maskini huwa mna uwezo duni Sana wa kufikilia.
Kama wanaowekeza kwenye logistics ni maskini na wewe kawekeze acha makelele ya kipuuzi..Watanzania wote ni maskini bwashee
Matajiri huwekeza kwenye Kilimo na Teknolojia
Maskini huwekeza kwenye malori na kamari
Kwa waziri wa fedha hata kwa mkobo anapata.ameamua kushindana na shabibi.inaonekana mabasi yanalipa sana hasa ukiwa kama mwigulu kwani kodi hulipi2OO,OOO,OOO X 6O = 12 BIllions katoa wapi?
Wewe na hizo bodaboda zako 4 hapo Nkuhungu ni sawa tu na ShabibyKama wanaowekeza kwenye logistics ni maskini na wewe kawekeze acha makelele ya kipuuzi..