DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Siku zote wanasema usishindane na mwanamke kwa kuongea la sivyo lazima atakuzidi tu taka usitake....Nimekuachia wewe ambaye unajuwa zaidi....Tupo humu jamii forum zaidi ya 16 years so mtu anaesema ukweli tunamjuwa na anaeongea pumba kutafuta kiki tunamjuwa so wacha nikuachie wewe mjuaji zaidi zaidi.....
Ni kweli.Haya maneno ananiambia mama yako mzazi ili nikujibu.Kwa hiyo haumuheshimu mamayo?😂😂😂
 
Ni kweli.Haya maneno ananiambia mama yako mzazi ili nikujibu.Kwa hiyo haumuheshimu
Nampa heshima zote kama nilivyosema mwanzoni....Hata wewe pia ambaye umeyaongea nakuheshimu pia......Ukitaka kuishi na mjinga na mjuaji lazima uwe mjinga pia so nimekujibu kwa heshima na wala sijaingiza wazazi wako.....
 
Sio kazi ya Tiss kusimamia miradi na taarifa ya CAG ni complex ukitaka Tiss wafanye hiyo Kazi sijui kama Wana manpower za kutosha kuwepo kila sehemu kufanya uchunguzi sio tuu wa pesa bali wa quality ya miradi,hii ni ngumu Bora hata ungeuliza Takukuru maana wao ndio Wana jukumu la moja kwa moja..
Leo nimeamini wewe ni juha na zuzu kuu.
TISS kazi yao ni nini?
Yaani unasema hawa jamaa hawana manpower ya kuyosha kweli!!!???
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?

Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?

Kazi kwenu!


Sasa kama hata waziri huwezi kumtaja umeweka hapa hoja ya nini?
 
Ungekaa kimya kuliko kuandika, achana na watu wa data wewe!
Wewe nenda jikoni kasonge ugali wanaume waje kula wakishaanika mambo!
Mpuuzi TU wewe na unadhani unawajua Sana watu wa data ilihali huwajui! Huko jikoni nenda wewe womanizer Mimi nitamwagiza bodaboda aje anichukulie. Nipe location ya ulipo! Nisome Tena Kwa makini Kisha Rudi kwenye reply Yako usome Kama unaniunga mkono bila kujitambua! Acha kukurupuka na angalia idadi ya likes kwenye hoja yangu ndio utajua kuwa sikurupuki kujenga hoja!
 
Nahisi huelewa wako ni mdogo sana!
Huwezi kuelewa nilichomaanisha kwa kundika vile! Na hutaweza,Ila akisoma Mwigulu atanielewa nini namaanisha,
By the way mimi sio chawa na sijawahi kuwa na sio kijana mpuuzi kama wewe, naweza kuwa Baba yako.
Huelewa = uelewa!
Hatupimani hapa Bali kueleweshana! Kuwa babangu weka x. Kuwa mpuuzi sidhani ndio maana Mimi ni member wa jf. Kuwa na nidhamu inayolingana na umri wako basi! Nachelea kukutukana kwani umeshajitukana kwenye reply Yako eti akiisoma uliyemtaja ndiye atakayekuelewa. Kwanini usimmwandikie inbox? Chawa mtiifu wa mtuhumiwa.
 
Mkuu Jp Omuga,
Ukiangalia thamani ya mijadala inayoendelea ndani ya jukwaa hili siku hizi utajuwa tulipofika kama nchi.

Ndiyo maana utaona hata mabadiliko ya wachangiaji wengi katika mada ni za kusifu au kukashifu tu; hakuna majadiliano ya kina juu ya hoja zinazoelimisha na kushauri.

JF sana sana, sasa hivi imebaki na sifa za jina tu basi, hakuna mijadala mizito.

Ukiona hata watu makini wanapoingia humu na kuchangia chochote, hawatumii ule umakini uliokuwepo hapo zamani; umakini wa kutafuta taarifa sahihi na kuziwasilisha kimpangilio.

Baada ya kuandika haya, hoja yako juu ya katiba ni nzuri sana, lakini sioni jinsi inavyoweza kujadiliwa humu kwa mtindo wa mijadala ilivyo siku hizi.

Sijui kama mada 'serious' kama hiyo itapata wachangiaji ndani ya jukwaa hili kwa jinsi lilivyokaa siku hizi.

Kazi iliyopo siku hizi kwa wachangiaji ni kurashiarashia tu kwenye uandishi bila kujali uzito wa yanayotakiwa kuwasilishwa.

Sijui, labda Maxence anajuwa jinsi ya kutengeneza pawepo na umakini unaotakiwa kwenye mada ya aina hiyo.
Nakubliana na wewe 1000%
Sasa ni jukumu la mwenye jukwaa Maxence Melo kutafakari maboresho gani yafanyike kulingana na ukweli kwamba JF inazidi kupoteza ushawishi
Kuna wajumbe humu wanafikiri humu ni kama FB au Twitter hasa walew wanaolipiwa bundle za kufanyia propaganda!
 
Jamaa ndie don wa ile timu ya Singida nasikia tozo zinaishia huko. Anyway tuachane na hiyo team, nasikia mke wake ana kampuni ya betting ndio sababu ya kuondoa kodi zote kwenye betting company sasa hivi.

Vidogo vidogo jamaa ameagiza mabasi 60 ya Esther na jamaa yupo fresh tu, na wananchi tupo tu tunapush hash tag ya kazi iendelee
 
Nampa heshima zote kama nilivyosema mwanzoni....Hata wewe pia ambaye umeyaongea nakuheshimu pia......Ukitaka kuishi na mjinga na mjuaji lazima uwe mjinga pia so nimekujibu kwa heshima na wala sijaingiza wazazi wako.....
Vema.Usirudie ujinga.Nitakukera.
 
The best option naona ni viongozi wa umma kudeclare mali zao in public ili tuwe na check ya kujiridhisha kwamba hawafuji mali za umma. Kama Mwiguli ana legitimate source of income, hamna ubaya ata akiwa na bus 100 mpya
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?

Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?

Kazi kwenu!
Mambo ya kulamba asali
 
Huelewa = uelewa!
Hatupimani hapa Bali kueleweshana! Kuwa babangu weka x. Kuwa mpuuzi sidhani ndio maana Mimi ni member wa jf. Kuwa na nidhamu inayolingana na umri wako basi! Nachelea kukutukana kwani umeshajitukana kwenye reply Yako eti akiisoma uliyemtaja ndiye atakayekuelewa. Kwanini usimmwandikie inbox? Chawa mtiifu wa mtuhumiwa.
ACHA UPUUZI HAPA, KAMA SHIDA ZAKO PELEKA KWA WAZEE WAKO.
 
Usilete mamifano irrelevant ,seems huelewi hata utendaji Kazi wa kampuni na mtu binafsi,on top of that Kuna sheria ya maadili wanatamka na kuweka bayana interest zao za mali nk..

Hatuhitaji maskini kwenye uongozi na by the way watu wanapata salary,posho and other stinge benefits za kazi gani ? Utakula zote? Zingine una invest na maisha yanaendelea..

Maskini huwa mna uwezo duni Sana wa kufikilia.
Watanzania wote ni maskini bwashee

Matajiri huwekeza kwenye Kilimo na Teknolojia

Maskini huwekeza kwenye malori na kamari
 
Back
Top Bottom