Naafikiana nawe hii siyo sawa kabisa kuanika masuala binafsi hadharaniAnawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
[emoji28][emoji28][emoji28] nimekuelewa vzr blogger. Niombee msamaha nami nitakuwa nimemkosea Sana, sikumwelewa[emoji1431][emoji1431][emoji1431]Amejichanganya... Hata Lilian atakuwa hamjui..
Tuko wengi Sana humu Mh. Waziri. Tuchukuliane tu.
ShukraniNImefarijika kwa kauli yako.
Barikiwa sana mweshimiwa
Asante, tayari mheshimiwaTena Hawa wanaohujumu watoto vituoni ndiyo nilitoa na press siku moja tunahitaji taarifa zao. Nitumie sms tafadhali kwenye 0765345777 nijue ni wapi huko wataalamu wakatimize jukumu lao kwa utaratibu stahiki.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mhe hulali?
Angetufuata vyumbani tulikowapatia hao watoto siyo publicTunzeni watoto wenu, huo ni ukweli hakuna udhalilishaji hapo.
Mheshimiwa Gwajima asante sana kwa hili. Huyu mama anachofanya hakikubaliki hata kidogo. Kuna namna nzuri ya kushughulikia haya mambo na siyo huu ujinga anaofanya. Tafadhali sana chukueni hatua huu ujinga usiendeleeUko sahihi, Na hapa ndiyo ambapo changamoto itaibukia.
Nimempa mtaalamu wa huduma za ustawi wa jamii atuongoze Ili twende salama. Nia njema iende sahihi ili tufanikiwe
Hongera Waziri Gwajima kwa kuwa proactive. Nimefurahi kuona namna ulivyopata habari na kujielekeza katika kulitatua. Mungu akubariki latika juhudi zako za kujenga Tanzania yenye watoto wenye matumaini.Imefunguka, nimempa kamishna wa ustawi wa jamii afanyie kazi. Ahsanteni sana kwa ushirikiano.
Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
Pokea maua yako Mheshimiwa Waziri kwa uthubutu wakoFaizaFoxy, Habari za asubuhi FaizaFoxy. Utanisamehe Sana kwa kuwa sijaja humu JF kukubaliana na kila jambo ambalo litakupendeza wewe. Kwa upeo wangu huu huu, katika hili, diagnosis yangu ni kuwa, huyu Lilian Mwasha amekosea hiki alichofanya, hakifai. Na kwa upeo wangu huu huu sijalala hadi nikampata na kumwambia hapa umekosea na aondoe hizo video mitandao yake yote. Na kwa huu upeo wangu, nimemwagiza kamishna wa ustawi amwite kwa hatua zaidi na kufika kwenye hiyo shule waliko hao waalimu na watoto kwa hatua zaidi na tamko litolewe la marufuku kuhusu Kila mtu kuingia kwa watoto na kutoa huduma aina hizi na zingine. Na pia hatua zingine zaidi zichukuliwe kwa mujibu wa taratibu za ustawi. Haya, na wewe Sasa kwa kuwa unao upeo mkubwa kabisa, ongezea tufanye nini zaidi.
Ila acha chuki binafsi Ili twende sawa. Nakubariki, ubarikiwe [emoji1666][emoji120][emoji2969]
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Namuunga mmono Lilian Mwasha.Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
sina uhakikaUna uhakika kuwa una jicho la tatu mkuu???
Hatua za kisheria atachukuliwa au ndio swala limeishia hapa?Nikifika toka jana, ahsante Sana. Jambo hili halifai na tayari licha ya kuwa huku niliko ilikuwa usiku sana, nilipata nguvu ya kuamka na kufanyia kazi. Tuendelee kushirikiana
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Uzalilishaji kivipi?Mbona yupo sawa tuNi hatari sana hii kitu ni udhalilishaji mkubwa sana
Jibu zurisina uhakika
Hata onyo ni hatua za kisheria pia.Hatua za kisheria atachukuliwa au ndio swala limeishia hapa?
Ukishasikia Mwasha sijui Macha . Ujue ni mpunga tu unatafutwa. Manka kama Manka?Hili ni lifeminist tu linajikuta linamshirikisha Mungu kwenye mambo ya kipumbavu, mara nyingi au mara zote baba kukataa kuhudumia mtoto hapo ujue chanzo ni mama sema madingi hatunaga time ya kuzungumzia yanayotusibu tunakausha na Mungu ndo muamuzi.
Feminist huyu ni wa kupuuzwa hayo maombi yenyewe ukiyaangalia kwa jicho la tatu ni ya mchongo, maombi kashayafanyia rehearsal kayakariri mpuuzi mmoja wa kupuuzwa.
Hili suala nimewapa wataalamu walichambue, waje na mapendekezo ya hatua stahiki. Naomba tuvute subira. Ahsante SanaHatua za kisheria atachukuliwa au ndio swala limeishia hapa?