Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Sasa hii nini? Utawala wa “sheria” umeenda wapi? Hili sio jambo la kusherehekea. Haiwezekani watendaji wafanye madudu ya kipumbavu (wengine kwa kufuata maelekezo...) harafu eti boss wao anakuja kutengua. How come?

Sasa atawachukulia hatua gani? Will there be a free and fair election hapa? Waliofanya madudu ndo hao hao watakaosimamia zoezi tena
Hahhaa eti waliokubambikia kesi ndio hao hao waamuzi mahakamani
 
Hakuna kurudi hadi wafute uchaguzi wote kila kitu kianze upya.
kwahyo wasimamizi watakua hawahawa waliochafua?Ningeshauri vyama vilivyojitoa visirudi kushiriki uchaguzi/wasidhamini mgombea yoyote
 
Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo amesema hakuna atakayejitoa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na wote waliochukua fomu na kurejesha watashiriki uchaguzi huo kasoro wenye makosa ya uraia, kutojiandikisha katika mtaa husika, kujiandikisha mara mbili, kutodhaminiwa na chama chake #MwananchiUpdates
Jafo, why all this trouble? Si muache mtawale nyinyi peke yenu? Nilisema mmerahisishiwa kuua upinzani, tabu yote unayopata ya nini? Unahangaika nini? Kwani upinzani watawafanya nini? Majeshi mnayo, pesa ni zenu, why all these trouble?
 
Wananchi tusikubali Katiba kukanyagwa na kuchafuliwa na wachache wanaojiona nchi hii ni yao.
20190511_163943.jpeg
 
Kile kikao cha mweshimiwa sana na watendaji wa kata matokeo yake ndoo hayo
 
CcM jifunzeni kuchuchumaaa.. mtaabika?

Jafo kama una akili futa zoezi zima.. uchaguzi pelek mwakani?

Wananchi sio wajinga wala chadema sio watoto kama onavyo dhani na wana ccm wenzio.

Mode tuachie uzi wetu huu .. usichangannye na ule wa TV.

20191110_154622.jpeg
 
Sweet Miss Chadema and sweet Miss ACT wazalendo I love you so.much my two sweet babies please shirikini uchaguzi please nyie ni warembo nawapenda.Msiniangushe wapenzi .Msiposhiriki nitajisikia vibaya wapenzi.
 
Back
Top Bottom