Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Hatukumuelewa tu
Alisema waliochukua na kurudisha fomu kisha wakakatwa na kukata rufaa watarejeshwa kwenye mchuano
Subiri clip zake za video zipandishwe hapa halafu tuone kama watu hawakumuelewa.Hatukumuelewa tu
Alisema waliochukua na kurudisha fomu kisha wakakatwa na kukata rufaa watarejeshwa kwenye mchuano
Kabisa mkuu maagizo kutoka juu yanamtesa sana anaonekana kama zezeta.Huyo ni spika tu kuna muongeaji/waongeaji, tuendelee fuatiria waya ulipotokea!.
Hatukumuelewa tu
Alisema waliochukua na kurudisha fomu kisha wakakatwa na kukata rufaa watarejeshwa kwenye mchuano
Wanahangaika kweli ccm kama kuku anayetaka kutaga.Hakuna anaerudi kwenye uchaguzi wowote!
Vyama vyote vimejitoa!
Wekeni makapi yenu,then pitishaneni!
Hakuna haja ya nyie kupiga domo sana...
Domo lote hili ni y’all motherfuckers are scared shitlessly!
Hivi hawa watu wa chama cha ccm kijani kibichi hivi ni wazima kweli?Wale tunaosema huo uchaguzi ni kipimo halisi cha ujinga wa mtu mweusi bado tuko sahihi.
Yeye kama waziri wa TAMISEMI ana nia njema na anajitahidi kutuonyesha nia yake njema. Tatizo ni yule Waziri wa TAMISEMI ambaye alitoa maagizo mengine kabisa.Leo tarehe 11/11/2019 waziri wa ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (Tamisemi) Kaja na mapya tena, kwa maelezo yake na nyaraka alizotoa leo kupitia ofisi yake kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, kaja na igizo lingine kuwa yeye jana alinukuliwa vibaya, waandishi wa habari hawakumuelewa kuwa wagombea wote waliopita na ambao hawakuwa na sifa wote warudishwe na washiriki uchaguzi huu utakaofanyika 24/11/2019 . Leo anasema watakaoshiriki uchaguzi huo ni waliomba nafasi hizo na wakapitishwa. Pili waliokata rufaa na rufaa zao zikakubaliwa, hivi huku kubadilika badilika kwa kauli za waziri wa Tamisemi nini kinamsumbua? Mbona anaaibika sana maskini.Wapinzani kaeni chonjo hiki kigeugeu cha Jafo inatafutwa mbinu ya kuwaingiza mkenge kura ziibwe plus maagizo kutoka juu.
Jiwe anamtesa sana huyu jamaa.Pelekeni habari zote za huyu jamaa jukwaa la jokes.
Mpango ndio unawaumiza kichwa kupitisha 95%.Sasa wanahangaika kweli kutafuta credibility ya uchaguzi.Mpaka kuwapitisha wanaowataka,huyu jamaa atakuwa hoi kwa pressure. Kwa sasa hata ile mizigo yake minne hana raha nayo,haigongi ipasavyo.
Mhusika anajulikana mbona Jafo ni spika tu.Yeye kama waziri wa TAMISEMI ana nia njema na anajitahidi kutuonyesha nia yake njema. Tatizo ni yule Waziri wa TAMISEMI ambaye alitoa maagizo mengine kabisa.
Jafo anajitahidi kutuonyesha hahusiki na madhambi haya
Hakuna anaerudi kwenye uchaguzi wowote!
Vyama vyote vimejitoa!
Wekeni makapi yenu,then pitishaneni!
Hakuna haja ya nyie kupiga domo sana...
Domo lote hili ni y’all motherfuckers are scared shitlessly!
Leo tarehe 11/11/2019 waziri wa ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (Tamisemi) Kaja na mapya tena, kwa maelezo yake na nyaraka alizotoa leo kupitia ofisi yake kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, kaja na igizo lingine kuwa yeye jana alinukuliwa vibaya, waandishi wa habari hawakumuelewa kuwa wagombea wote waliopita na ambao hawakuwa na sifa wote warudishwe na washiriki uchaguzi huu utakaofanyika 24/11/2019 . Leo anasema watakaoshiriki uchaguzi huo ni waliomba nafasi hizo na wakapitishwa. Pili waliokata rufaa na rufaa zao zikakubaliwa, hivi huku kubadilika badilika kwa kauli za waziri wa Tamisemi nini kinamsumbua? Mbona anaaibika sana maskini.Wapinzani kaeni chonjo hiki kigeugeu cha Jafo inatafutwa mbinu ya kuwaingiza mkenge kura ziibwe plus maagizo kutoka juu.
Mpumbavu wa PhD ya korosho. Hivyo 12 vilijaza lini fomu ya kugombea kwenye uchaguzi? Endeleeni kuota mchana mwisho wake mtaloanisha nguo zenu na mikojo.Nosense, always a toothless dog barking
Vyama 12 vinashiriki Uchaguzi,so unaweza ukaona namba ni kubwa mno
Democratically it is okey,waliojitoa wanasababu zao mostly watu wanasema vinaogopwa kushindwa
Kasi ya Mr.President John Magufuli imewafanya waishiwe hoja ni vile tu hawawezi ku confess mbele ya wafuasi wao
Wellcome to the next door tujenge Nchi
Achana na mambo ya kupinga,wacheni kutumika na Mabeberu nyie wapuuzi